Habari zenu wanajamvi.! Nipo Dar nahitaji line ya Safaricom ili niweze kufungua account paypal nipokee malipo mtandaoni.
Kuna ambaye anauza hapa dar au wakala au namna yoyote ambayo mtu anafahamu anielekeze niweze kupata.
Natanguliza Shukrani zangu. 🙏
Mengi na wengi wameshazungumza sana na kuandika sana kuhusu umuhimu wa huduma ya Paypal kwa nchi yetu.
Ajabu, kila kampuni mpya ya Fintech inakuja almost inafanya kama yule mwenzake hakuna aliyethubutu kwenda extra mile. Wanaigana na kuzunguka hapohapo kila siku. Hivi huwa wanasoma reviews na...
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,
Pole na majukumu ya kuongoza nchi na pia hongera kwa kazi nzuri unayofanya kuifanya nchi yetu inakua kiuchumi na kuwa na amani.
Kwa sasa dunia ni kijiji, unaweza kufanya kazi na mtu yoyote aliyeoko nje ya nchi.
Tuna tatizo la ajira kwahiyo vijana wengi...
Wakuu salamu,
Nimejaribu kununua bidhaa Ebay kwa kutumia Paypal nashindwa kabisa kulipia.
Inaleta kitu kama hiki chini.
Lakini siwezi kuproceed na Payment.
Any idea kwa mtu aliyefanya manunuzi recently na Paypal?
Kuna fedha natakiwa kui withdraw kwenye moja ya site za malipo online, ambapo option yake kuu ya ku withdraw ni kupitia Paypal account.
Imekuwa ni kikwazo kikubwa kwangu, maana nimejaribu kutengeneza hiyo account ila account bado haikufanikiwa kukidhi vigezo vya kutumika na kupokea malipo...
Najribu kufanya Malipo kupitia PAYPAL lakini naona kama kuna shida ambayo siielewi.
Je kuna mwingine ambaye anapata shida kwenye kulipa kwa kutumia Paypal?
Imekuwa ni changamoto kwa watanzania Na baadhi ya watu kushindwa kupokea malipo yao kutokana Na PayPal ya Tanzania kushindwa kutoa fedha nchini.
Sasa nmekuja Na hili jipya, ni kuwa unaweza kupokea fedha zako bila shida wala Shaka yoyote. Huhitaji kuwa Na laini za Kenya au laini za nje ili...
Pengine ulikuwa unasumbuka namna ya kufungua akaunti yenye uwezo wa kupokea malipo nje ya nchi. Ila leo nmekuja na suluhisho. Hauhitaji kuwa na laini ya kenya au kitu kingine. Cha muhimu ni uwe na kitambulisho chako cha taifa. Unaweza ukapata fursa ya kufungua stripe akaunti pia.
Taarifa zako...
PayPal has been the go-to payment solution for personal use for many years, but there are now several alternatives available. These alternatives offer a variety of features, fees, and capabilities that can suit different users' needs. In this article, we'll take a look at the best PayPal...
Ni kuanzia tarehe 31 mwezi ujao wa Oktoba na sababu kubwa ni thamani ya euro kuendelea kuporomoka jambo ambalo linawapa wasiwasi.
Baadhi ya wateja wa PayPal huko Ulaya wameanza kujulishwa kupitia jumbe na baadhi ya kadi zao zimeanza kufungwa.
NB: Ni wazi sasa Putin anaelekea kushinda vita ya...
Indonesia imezizuia Yahoo, kampuni ya malipo ya Paypal na tovuti kadhaa za michezo ya mtandaoni kwa kushindwa kufuata sheria za leseni.
Sheria zilizotolewa mwishoni mwa Novemba 2020, zinazipa mamlaka nguvu kubwa ya kulazimisha mifumo kufichua data ya watumiaji fulani, na kuondoa maudhui...
Mbunge wa Kigamboni, Faustine Ndugulile ameuliza bungeni kuhusu mikakati ya serikali kufanya mapitio ya ada za usajili wa mifumo ya malipo(fintech apps) pamoja na mikakati ya kuboresha mazingira ya kazi kwa wabunifu wa malipo ya mtandao.
Zaidi ya hayo, ameulizia mpango wa serikali kuhurusu...
Habari zenu wakuu,
Kutokana na Paypal kutoruhusiwa kupokea pesa Tanzania, nafikiria kuanzisha huduma itakayosajiliwa ambayo itawawezesha watanzania kupokea pesa kutoka paypal na kuingia kwenye mitandao ya simu ya Tanzania kama M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money.
Napokea maoni, ushauri na...
Kampuni ya paypal kwa habari zilizopo inakamilisha mpito wa mikataba yake ifikapo julai 3 2023. Kujiondoa na ebay swala la malipo.
sababu zilizopelekea paypal mpango wa kujiondoa ni kutokana na kushuka sana mauzo ya hisa asilimia -36.23%.
Hata hivo mfumo mpya mbadala utakuwa kwenye malipo ya...
Ikiwa umefungua akaunti ya paypal ya kenya kwa kutumia namba ya safaricom, kuna probability tatu.
1. Hutodaiwa kuverify chochote utaitumia kwa muda flani mpaka siku ya siku ndipo wakudai uverify kwa kutuma kitambulisho chako.
2. Baada ya kuifungua watadai utume kitambulisho.
3. Unaweza kuwa...
Nadhani wale wenzangu na mimi mnaotumia Paypal mlishawahi kukumbana na tatizo la paypal kushikilia pesa yako kwa miezi 6 na kisha baada ya hapo kukwambia uitoe ila option iliyopo ni kupitia akaunti ya bank ya US.
Sasa leo nawapa njia ya kuwithdraw hiyo pesa. Unatakiwa kuwa na US dollar account...
Dunia ya sasa biashara za mitandaoni ni kubwa mno na hazina mipaka
Waweza uza chochote mitandaoni
Njia ya malipo ya haraka ya kupokea pesa mitandaoni ni njia ya Paypal ikiruhusiwa itafungua ajira nyingi mno
Wabunge tunaomba mtusaidie kwa hili kutuulizia bungeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.