undefine
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 442
- 1,011
Halafu Leo tunamsema magufuli dah ndio tulivyo binaadamuUnashangaa nini, JK amezidi kuwepo kushiriki misiba. Inaonekana Rais anataka huruma ya wananchi waseme rais anawajali kwani anawasindikiza kwenye misiba. Kama wakuu wa mikoa wanamwakilisha katika matukio mbali mbali hili la misiba kwanini asiwakilishwe?