Kazi ya Kikwete ni kuhudhuria kila msiba?

jamani nisaidieni mnikulu ni cheo gani??


Meneja wa IKulu anamanage shughuli za pale kama dinner zile au visherehesherehe anamanage administrative issues sio zote baadhi in general anamanage ikulu
 
Time is a unique commodity Mr. President..................
 
Ni kweli kuwa anapenda kuhudhuria shughuli uwenda yeye kama binaadam anawajibika kwani ni thawabu pia. But yeye kama rais nafikiri ifikie sehemu awe anawakilishwa tu na watu wake na wawakilishi wao wapewe ujumbe maalumu toka kwa rais ili kuthibitisha uwepo wa mheshimiwa katika kujumuika pamoja na wafiwa kuomboleza.
 
Meneja wa IKulu anamanage shughuli za pale kama dinner zile au visherehesherehe anamanage administrative issues sio zote baadhi in general anamanage ikulu

thanks JS i was completely in the dark!! (nilihisi waandishi walikuwa wanakosea bt when i saw it in evry news paper nikjua am the one who is wrong here)
 
pamoja na madhaifu aliyoyasema Semenya, kweli Kikwete ni Bigwa wa kuudhulia misiba, anajitahidi, sijui ni sifa ama ni ujiko.

Jema lipi kwenu? alienda kwenye mechi mkasema msiba wa Mhe. Kawawa haujaisha, alikaribisha mamisi ikulu mkasema kuna mafuriko; ameenda kwenye msiba mnazua lingine. Hee nyie watu?

Binadamu, punguzeni kuchonga. Chongeni kwenye hoja sio kujaza karatasi kwa bora hoja.
 
Humu JF kuna watu wazima wanaongea ujinga mtumpu. This thread is one of those that clearly show this fact. Rais ana network kubwa sana ya watu anaowafahamu na kisiasa na ki binadamu anawajibu ambao anautekeleza vizuri tuu. Nina uhakika haendi kwneye misiba zaidi ya 2 kwa mwezi kwaahiyo hii mada ni kama kwato za fisi, ujinga mtupu.. There is no way that him taking that time affects his performance as President. Nikama watu wamwabie Obama asicheze basketball, lol.. Acheni ujinga tumieni forum kujadili vitu vyenye maslahi au pelekeni udaku kwenye jokes/utani huko. Watu wazima hovyo kama mnakunywa piwa..
 
Ngomani mbona anakwenda kila june/july bagamoyo???mwaka jana walikusanya watoto wakawa kama 15hv wote wakawacheza ngoma ya mwali.....jamaaa mbona alienda siku 3 kula na kunywa bureee
 
kwa kweli mnyonge mnyongeni ila haki yake mpine, nadhani Kikwete anajitahidi sana kuwa karibu na watanzania
 
Code:
yaani huyu anaona aibu tu kwenda ngomani lakini ingekuwa amri yake aaaah ..ngomanai kama kawaaa
Code:
Kwetu Chalinze...Uliza watu wa chalinze wakupe data sio unapotosha watu jamvini. Sema anaenda ngomani ila hachezi
 
<b> kwenda kuzika same kwa huyu afisa usalama aliyefariki..
Naomba kuuliza maana ya neno MNIKULU. Regardless iwapo Hayati Kianda alikuwa manachama wa UWT au la, huyu alikuwa mnikulu, msimamizi mkuu wake, je kwenda kumzika is an issue real? Jamani tuwe waungwana tuhukumu kwa haki; Kwa hili Kikwete yupo sahihi.
 
Kuna rafiki yangu ni bingwa wa hesabu na siku moja nilikuwa nae ktk porojo zake akaanza kukokotoa mambo yanavyofanyika pale ikulu na Mh wetu, akasema tufanye pale ikulu kuna masomo 5 na kama yeye angekuwa mwalimu angetowa marks hizi, sijui mimi na wewe tungetowa zipi?
1. Kuhudhuria misiba na mazishi - 86%
2.Safari za Nje -89%
3. Safari za Ndani- 61%
4.Kukaa ofisini- 15%
5. Msimamo katika vita ya ufisadi- 05%

Hiyo ya kuhudhuria mazishi una uhakika? Mimi nafikiri tuitumie vizuri dhana halisi ya great thinkers. Hata mtu ambaye hakuwahi kutembelea forum hii akiona tupo busy kujadili negatively suala la Rais kuhudhuria mazishi ya mfanyakazi wa ofisi moja, anaweza kutushangaa sana. Kwanini tusiwe objective katika baadhi ya mambo? Kweli kwa mfanyakazi wa Ikulu, tulitegemea Rais asihudhurie? Sioni kabisa mantiki ya kumbeza Rais katika hilo. Tuje na hoja nyingine yenye maana lakini hili la kuhudhuria misiba halina uzito. Binafsi ningependa Rais ahudhurie misiba mingi zaidi, kwa kuwa watu wanahitaji faraja yake kama kiongozi wao.
 
Hahahaha ingekuwa mambo ya Uswazi, tungesema jamaa anapenda "ubwabwa" wali! misibani huwa kuna kipunga! LOL
 
Back
Top Bottom