Mtumwa wa kweli
Member
- Feb 11, 2011
- 71
- 6
Wanahitajika wadada wanaoweza kufanya kazi za hotel hapa dar es salaam au mikoani, sifa kuu ni angalau kidato cha 4 au amesoma hotel management, awe smart na mwenye muonekano mzuri, mwenye nia anitumie email mtumwamtumwa@yahoo.com.