Walioishi hapo ni mababu na mabibi zao ambao pia walikuwa wamepangishwa na halmashauri!! Sikujua huu utaratibu WA kuwafidia wajukuu wa wapangaji pesa na nyumba bila Mkataba ulitoka wapi!? Just politics!! Eneo ni strategical Kwa biashara na Sio kujenga na kugawa Bure!! Majengo ya biashara Malls zingezaa ajira nyingi, my country!! Makazi wangejenga chanika na Mabwe PandeHapa ilihitajika elimu kwa umma kabla ya kuwasainisha.
P