Tengeneza Njia
Senior Member
- Jul 29, 2022
- 121
- 204
Nimesikia ndugu zetu wapangaji wa nyumba za Magomeni wanamuomba Mh. wauziwe nyumba zile kwa Tsh 17M? Kweli?
Serikali imesema itawauzia kwa Tsh 48M (chumba na sebule) na 56 + (kwa nyumba kubwa), na hii inalipwa kwa muda wa miaka 15.
Piga mahesabu yako vizuri kwa huyu atakaye lipa 56+ atatakiwa kulipa laki tatu tatu kila mwezi kwa muda wa miaka hiyo 15
Hii si bei ya kodi ya mwezi kabisa ya nyumba ya hadhi hiyo? Naona hawaoni uzito wa mali hii wanayotaka kumilikishwa kwa mteremko!
Serikali imesema itawauzia kwa Tsh 48M (chumba na sebule) na 56 + (kwa nyumba kubwa), na hii inalipwa kwa muda wa miaka 15.
Piga mahesabu yako vizuri kwa huyu atakaye lipa 56+ atatakiwa kulipa laki tatu tatu kila mwezi kwa muda wa miaka hiyo 15
Hii si bei ya kodi ya mwezi kabisa ya nyumba ya hadhi hiyo? Naona hawaoni uzito wa mali hii wanayotaka kumilikishwa kwa mteremko!