Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

Wakuu MsemajiUkweli na jingalao, kiukweli tunatofautiana sana humu jf katika uwezo wa kusoma bandiko na kiwango cha uelewa wa kuelewa bandiko halisi lina maana gani!, yaani kama kitu simple hivi na straight forward imeshindwa kumwelewa BAK, vitu vigumu itakuwaje?!.

Rais ndio mkuu wa nchi, with all info tips from "his" reliable "sources" ziko at his finger tips!, hivyo he is expected to be the one and only who should have known better than anybody else!, sasa inapotokea mkuu wa nchi anajitokeza kwenye public ya watu au kadamnasi ya watu na kuanza kutoa kauli za guess work, kama hizi,
hamuoni kuwa ni tatizo?!. If rais wa nchi is unsure about allegation ya ufisadi kwenye taasisi nyeti kama jeshi la polisi!, then who will be sure?!, kiukweli we have a serious problem here!, nyie endeleeni tuu kumuimbia nyimbo za sifa na mapambio mwisho wa siku ndipo mtakapogundua kumbe he is not only a dictator, but also a comedian!, kama tunachotaka ni comedy, tutapata!.

Tangu mwanzo kuna kina sisi ambao we don't believe in one man show za hizi comedy, tunataka a change in systems!, tukitaaji rais wetu kama mkuu wa nchi to be perfect!, akipata tip ya ufisadi polisi, kabla hatatamka lolote, ajiridhishe kwanza what is it exactly!, watu wameiba bilioni 20, 40 au 60, ni kina nani, na ni kiasi gani?!, hii ya "eti nimesikia, kuna watu!, wamekwapua eti sijui ni bilioni 20, 40, 60, etc, atuachie sisi wa jf tusio na source, lakini yeye mwenye all the sources hana haja ya kuharakisha!, anaharakishia nini kama hii
Magufuli: Kuna mtu alikuwa anahamisha kati ya Tsh milioni 7-8 kila dakika...
ikaja kutokezea jumla ya fedha zote kwa miaka yote hazifiki hata bilioni 100!.

Hapa kazi tuu, tunataka kazi kweli kwenye changing the systems, mifumo, na sio ze comedy za one man show!.

Pasco


Aliposema kila dakika iliibwa milioni 6-7 alikwambia huyo mtu ameanza kuiba siku gani hadi anakamatwa? Watu wengine mnamatatizo ya kujiuliza na kujijibu hapo hapo.

Ni vema ungeuliza huyo mtu alianza kuiba kwa njia hiyo kuanzia lini na alisitisha wizi wake baada ya nini na muda gani alitumia katika kuiba hiyo pesa kila dakika.

Kama kuna watu unalalamika kuwa kazi yao nikuimba mapambio kila kitu na mwisho wa siku unasema wataona! Kimbuka kuna akina wewe ambao kila kitu ni wapingaji mwisho mtaona.

Kwa kweli Watanzania wengi tumekuwa watu wa kulalamika tu na kila mtu anataka tufuate yake. Kuna mtu hapo kaandika lugha mbili sijui anamaanisha nini Mswahili asiyejua kimaliki hata elewa na mmalikia hata elewa labda wale wahuni waliokuwa USA wanabeba mabox waliohamia bongo na kukosa kazi kutwa kucha wapo kwenye mitandao.
 
“Kuna watu wanasema fedha zilizotolewa ni Sh. bilioni 40, wengine Sh. bilioni 60, wengine Sh. bilioni 20, na fedha zote zilitolewa ndani ya wiki moja,” alisema Rais Magufuli.


Wewe mleta uzi unaona ziliytolewa shilingi ngapi??? Rais anajua zilitolewa sh. ngapi, sasa amewapa kazi wahusika wajikaange....tuambie na wewe ili ujikaange....kazi yenu kulalamika tu...Tathimini kwa makini kauli za Rais ndipo utamwelewa vizuri....
 
Niko taratibu sana rafiki.

Mimi sifahamu hata ngumi inarushwa vipi achilia mbali kurusha ngumi hewani!
Turudi kwenye hoja mpya uliyotuanzishia. "Tamathali za semi". Mbona sijaziona kwenye hotuba yote? Au hizi " sijui" kwako ni tamathali za semi?
Kubali tu kuwa mkulu kabugi kwa kukosa data sahihi. What if huyo aliyepewa jukumu la kuchunguza na kushtaki akikuta ni zaidi ya 60bln au pungufu ya 20blns? Vipi kukawa na negotiations between mpigaji na mkamataji ya kusave some kisha kikatangazwa kiasi kidogo? Alitakiwa awe perfect before na hata kumconsult igp na vyanzo vingine vya taarifa. Vinginevyo ameshindwa.
 
Rais ndo anapewa briefing kuhusu kila kitu na kwa undani,hawa wenye kazi ya kumbrief rais ni majipu
 
“Kuna watu wanasema fedha zilizotolewa ni Sh. bilioni 40, wengine Sh. bilioni 60, wengine Sh. bilioni 20, na fedha zote zilitolewa ndani ya wiki moja,” alisema Rais Magufuli.
Wanatanzania tumekuwa mbumbumbu wa kuelewa . Tumerogwa na nin. Zamani hatukuwa ivi.....
 
Huyo anaejiita BAK na huyo anaejiita Pasco huwa ni wagumu sana kuelewa aka vichwamaji.

Kwa uelewa wangu, Magufuli simply alikuwa anaelezea mlolongo na si tukio moja. Huyu 20, yule 60, yule 40.

Inapaswa mfahamu kuwa Magufuli Kiswahili si lugha mama kwake ni lugha ya kujifundisha pengine alipoanza shule kama ilivyo kwa wengi wenu.

Sasa kwa Mtanzania kusema kiswahili sio lugha mama kwake ndio maana awe anatoa kauli tata katika zama hizi huo nao ni utata. Nyerere aliyetokea kijijini huko bara kwa zama zile Kiswahili hakikuwa lugha mama lakini mbona hakuwa anatoa kauli tata kiasi hiki? Sasa Rais wetu ni lugha gani hasa anaweza kueleweka kama hata kiswahili nacho mnamtoa?
Kiingereza alichosomea kwa zaidi ya miaka 20 na kukufanyia kazi miaka kama hiyo hiyo nacho kimeonekana ni tatizo ingawa ni lugha official hapa Tanzania sasaatumie lugha gani kuondoa utata? Tumruhusu basi awe anatumia sijui Kisukuma na wawepo wakalimani ili tumpate kwa uhakika kwani ni wajibu wake kueleweka anasema nini.
 
Alikuwa anashindwa kuomba data kwa aliewalipa ili aje na figure kamili? Anabahatisha kama wanywa kahawa na story zao? Ana vyombo vyote! Au ndio wale wal kina Lugumi?

Ni comments za ajabu kabisa ...very disappointing statement, utasemaje Rais kuwa 'anabahatisha kama wanywa kahawa na story zao?' ...Hivi ulimwelewa vipi Rais kwa kauli yake ile??? Hii JF ina watu wa ajabu kweli...Ipo haja gani ya kuhoji kauli hiyo ya Rais na ambayo kwa wengi wetu na kwa mamilioni ya watu makini haina utata wowote ule ???...utamfananishaje Rais na 'wanywa kahawa'...Yaani mtu unatamka na kuandika maneno hayo hata staha na uungwana katika kauli hauna kabisa...Rais ni kiongozi mkuu wa nchi...baba yetu...unaweza kumwambia baba kuwa ana kauli za 'wanywa kahawa?'...Yaani mtu huna haya wala uoga kutamka na kuandika maneno hayo?....
 
Mkuu Pasco umenena vyema sana. Sina cha kuongeza hapo ngoja wapiga filimbi wa hamelini
Wakuu MsemajiUkweli na jingalao, kiukweli tunatofautiana sana humu jf katika uwezo wa kusoma bandiko na kiwango cha uelewa wa kuelewa bandiko halisi lina maana gani!, yaani kama kitu simple hivi na straight forward imeshindwa kumwelewa BAK, vitu vigumu itakuwaje?!.

Rais ndio mkuu wa nchi, with all info tips from "his" reliable "sources" ziko at his finger tips!, hivyo he is expected to be the one and only who should have known better than anybody else!, sasa inapotokea mkuu wa nchi anajitokeza kwenye public ya watu au kadamnasi ya watu na kuanza kutoa kauli za guess work, kama hizi,
hamuoni kuwa ni tatizo?!. If rais wa nchi is unsure about allegation ya ufisadi kwenye taasisi nyeti kama jeshi la polisi!, then who will be sure?!, kiukweli we have a serious problem here!, nyie endeleeni tuu kumuimbia nyimbo za sifa na mapambio mwisho wa siku ndipo mtakapogundua kumbe he is not only a dictator, but also a comedian!, kama tunachotaka ni comedy, tutapata!.

Tangu mwanzo kuna kina sisi ambao we don't believe in one man show za hizi comedy, tunataka a change in systems!, tukitaaji rais wetu kama mkuu wa nchi to be perfect!, akipata tip ya ufisadi polisi, kabla hatatamka lolote, ajiridhishe kwanza what is it exactly!, watu wameiba bilioni 20, 40 au 60, ni kina nani, na ni kiasi gani?!, hii ya "eti nimesikia, kuna watu!, wamekwapua eti sijui ni bilioni 20, 40, 60, etc, atuachie sisi wa jf tusio na source, lakini yeye mwenye all the sources hana haja ya kuharakisha!, anaharakishia nini kama hii
Magufuli: Kuna mtu alikuwa anahamisha kati ya Tsh milioni 7-8 kila dakika...
ikaja kutokezea jumla ya fedha zote kwa miaka yote hazifiki hata bilioni 100!.

Hapa kazi tuu, tunataka kazi kweli kwenye changing the systems, mifumo, na sio ze comedy za one man show!.

Pasco
 
Ndugu yangu jingalao nchi hii utatetea lkn mwisho wa siku utashindwa tu hivi yule tuliyo ambiwa ametumbuliwa kwa kumiliki nyumba 40 unajua yupo kwa sasa?
Ndugu masamaki..anaendelea na Maisha tu..na..Kesi atashinda....Hii mambo takutetea watawala wapya....kwasasa Inamkosesha Amani Mchungaji wangu...yy ni Supporter namba1 kila Mara kwenye Ibada hakuwa anakosa kumtaja nakututaka tuwe tunamuombea...Rais sisi wengine Yukawa tunamuonea Huruma tu...tunajua kumsifia Mtalawa mpya hapa tz nikujibebesha Jiko la Mkaa tangu asikie Magufuli anakataza mikutano ya siasa naona amerudi nyuma kdg...So itafika siku watu wataukubali ukweli...
 
Wewe mleta uzi unaona ziliytolewa shilingi ngapi??? Rais anajua zilitolewa sh. ngapi, sasa amewapa kazi wahusika wajikaange....tuambie na wewe ili ujikaange....kazi yenu kulalamika tu...Tathimini kwa makini kauli za Rais ndipo utamwelewa vizuri....

Hujamwelewa BAK, anachosema ni kuwa inakuwaje Rais aseme eti nasikia, sijui ngapi vile, 20 au 40 au 60 nk. Principle ni ile ile, no research no right to speak.
Kauli yeyote ya Rais haitakiwa kuwa katika mfumo huo kwani kama alivyosema Pasco, yeye ndiye raia na1 na kutokana na kuwa na vyanzo vyote vya habari basi asemacho yeye ndio kinachotakiwa kuaminika. Sasa hapo tuamini kipi? Au, au au?
 
Kauli tata za Lowasa:

Mimi nimekulia CCM maisha yangu yote. Asiyenitaka aondoke yeye mwenyewe.

Serikali chini ya uongozi wa ccm na Jakaya Kikwete umeimarisha uchumi wa Tanzania.
Wee jamaa usibobeba ujauzito wa huyo jamaa utaishi kwa sononeko sana...hapa anajadiliwa Rais ya Lowasa yamekujaje...
 
Ndio maana hatukutaja majina, na kiukweli kwa mwendo huu, sina uhakika sana kama hii freedom of expression tunayoenjoy hapa jf, is there to stay, ila najua jamaa anasoma jf, kwa vile tunajuana, ni kabila moja, na nikienda Chato, nafikia hotelini kwake!, kuna siku tulikutana naye kule Saba Saba akanisalimia kilugha, ila tone yake nilihisi kama ananiambia "nakusoma jeiefu!" "siku yako nimekuwekea!" atakachofanya sio ku deal na wana jf individuals, bali kutumia his machine kuiadabisha jf!.

Pasco
hivi kwanini hajakupa hata ukuu wa wilaya homeboy wake,anaishia kukusalimia tu,''ulimhala nkingwa''
 
Ni comments za ajabu kabisa ...very disappointing statement, utasemaje Rais kuwa 'anabahatisha kama wanywa kahawa na story zao?' ...Hivi ulimwelewa vipi Rais kwa kauli yake ile??? Hii JF ina watu wa ajabu kweli...Ipo haja gani ya kuhoji kauli hiyo ya Rais na ambayo kwa wengi wetu na kwa mamilioni ya watu makini haina utata wowote ule ???...utamfananishaje Rais na 'wanywa kahawa'...Yaani mtu unatamka na kuandika maneno hayo hata staha na uungwana katika kauli hauna kabisa...Rais ni kiongozi mkuu wa nchi...baba yetu...unaweza kumwambia baba kuwa ana kauli za 'wanywa kahawa?'...Yaani mtu huna haya wala uoga kutamka na kuandika maneno hayo?....
Mkuu, mbona inaelekea unawadharau sana wanywa kahawa!? Hawa ni viongozi pia na wana familia zao na ni swa kufananishwa na yeyote.
 
“Kuna watu wanasema fedha zilizotolewa ni Sh. bilioni 40, wengine Sh. bilioni 60, wengine Sh. bilioni 20, na fedha zote zilitolewa ndani ya wiki moja,” alisema Rais Magufuli.

Sana utaambulia matusi toka pande yetu.Pole na asante kutuhabarisha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu, mbona inaelekea unawadharau sana wanywa kahawa!? Hawa ni viongozi pia na wana familia zao na ni swa kufananishwa na yeyote.

Ni kauli nyingine ya ajabu...humu JF lipo tatizo...Hivi wewe unaelewa vipi mtu akikuambia kuwa kauli zako ni sawa na za 'wanywa kahawa'???? Sema na andika humu unachoelewa wewe kuhusu kauli hii, ili tuweze kupima kiwango cha uelewa wako...
 
hivi kwanini hajakupa hata ukuu wa wilaya homeboy wake,anaishia kukusalimia tu,''ulimhala nkingwa''
Hatua ya kwanza ni kukata kadi ya CCM!, kwa vile mimi sina hata kadi ya CCM, ila pia Gross ya Bwana DC ni TZS. 3 na take home ni 2 plus!, mimi kwa shughuli zangu ninazozifanya hapa mujini, hiyo gross ndio nalipia pango pale NHC nilipopanga maeneo ya mjini kati!. Sisi watu wa Kanda, watoto rasmi wa home ni 7!, wamama wawili wamesaidiana, wakubwa wawili wako chuo, wawili wa kati wako sekondari za academy, na wadogo watatu wako English medium!, hapo sijahesabu kila cheupe kinachokatiza mbele yako, maana asili yetu hatunaga mwisho wa idadi ni uwezo wako wa kulipia!, familia zetu za Kiswahili extended families, ndugu ndugu kibao!, hivyo uDC ndio niutafute ili nipate nini?, labda gari maana nimeishajizoelea boda boda na bajaj!.

Pasco
 
Back
Top Bottom