nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Ni kweli mimi kuna mjeshi alinambia Gongo la mboto kuna mabomu heavy duty pakilipuak dar yote yaweza kuteketea by then he was refering to Mbagara. Anasema kuna mabomu yanaweza piga mpaka Morogoro na yamechakaa. Nadhani gongo la mboto ndo ghala kuu la hizo silaha. Twafa... Tusiwahurumie wa G/mboto tu we are not sure what next na kama kweli huko G/mboto hali ni shwari kweli kwani I don't trust a single word that comes fro these politicians
JK Kasema kweli sio uongo,si uliona Slaa alivyomchemsha kidogo tu kuwa ni mmiliki wa dowans, kaongea hadi mambo ya siri, mara Msabaha aliniomba niwashinikize hazina kulipa down payment $10M kwa Richmond