Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Wakuu ningependa tujadili kauli ya katibu wa nishati na madini aliyoitoa jana kupitia ITV habari wakati akielezea sababu ya kutembea na baadhi ya vitu alivyoibiwa ikiwepo passport na vitu vingine, kuna kauli aliyoongea ambayo ni "VIPESA" kwamba analazimika jutembea na vipesa kidogo ambazo zilikuwa TZS 1,000,000 pamoja na dollar 4,000. Je kauli ya vipesa ni kiswahili ambacho kipo au ni kauli ya zarau?
Karibuni mtoe hoja
Karibuni mtoe hoja