JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,735
- 2,686
Salaam wana JF
Tukiwa tumeingia mwezi wa mwisho kuhitimisha mwaka huu, ebu tukumbushane kauli, misemo na maneno yaliyojipatia umaarufu mkubwa kwa awamu hii kuanzia mwaka kipindi cha kampeni mwaka.
Binafsi naanzia na neno ambalo nadhani lilijipatia umaarufu sana hasa mwaka jana;
KUKATWA.
Tukiwa tumeingia mwezi wa mwisho kuhitimisha mwaka huu, ebu tukumbushane kauli, misemo na maneno yaliyojipatia umaarufu mkubwa kwa awamu hii kuanzia mwaka kipindi cha kampeni mwaka.
Binafsi naanzia na neno ambalo nadhani lilijipatia umaarufu sana hasa mwaka jana;
KUKATWA.