siiitaki mtu asuuumbue mamantilie, bodaboda ni rafiki yangu,, pipoz, pipoz,, ilani yetu mtasoma kwenye mtandao!! hapo kamanda ndo eti kamaliza kuhutubia maelfu ya watanzania waliodeki barabara wakakaa masaa 18 kumsubiri!! ila kusema kweli mwaka jana chama ambacho wengi wetu tulikiamini kwa muda mrefu kilituchezea mchezo wa hatari, wa kipuuzi halafu wa kishamba mnooo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.