And ze pipo leplubik....On behalf of myself
KilazaSalaam wana JF
Tukiwa tumeingia mwezi wa mwisho kuhitimisha mwaka huu, ebu tukumbushane kali na maneno yaliyojipatia umaarufu mkubwa kwa awamu hii kuanzia mwaka kipindi cha kampeni mwaka.
Binafsi naanzia na neno ambalo nadhani lilijipatia umaarufu sana hasa mwaka jana;
KUKATWA.
And ze pipo leplubik....
Hahaha, kumbe umeli note hilo? Ili kusudi lazima litumike kila aongeapo.Ili kusudi
Kwani nimechomeka wapi?Hachomoki