Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
kumbe na burundi wapo wana ccm,mana kwa lafidh yakiswahili chako utakua umetoka jana buyenzi au makamba,au bujumbura.
Usisikie uovu wowote usione uovu usijizalilishe wala kupiga kite na kulia.usiseme uovu ili usije ukayasikiya yakisemwa dhidi yako na usiyakuze makosa yawengine ili makosa yako mwenyewe yasije yakaonekanamakubwa zaidi na usimtakie fedheha mtu yeyote ili fedheha yako mwenyewe isifichuliwe ishi siku za maisha yako ambazo ni chache sana kwa akili isiyo na mawaa kwa moyo mkunjufu mawazo masafi na asili yako iliyotakasika