Katuni ya Kipanya 08-06

mizambwa

JF-Expert Member
Oct 8, 2008
4,422
1,790
Ameishiwa nguvu, na bila shaka hana pesa ya kulipa Bajaj.

Katuni 08-06.jpg
 
MachoMakavu, hivi ulikuwa haujuwi kuwa yule fundi seremala wa taifa aliyepewa jukumu la kulichonga lile jeneza la CCM kunako 2015 anakaribia kulimaliza? Anasema lile jeneza halitopigwa misumali bali nondo na zege ili CCM isifufuke tena. Mimi nimejitolea kuchimba kaburi la mita 6 kwenda chini, wewe je?
 
Last edited by a moderator:
Masikini weeee.... NG'OMBE WA MASIKINI HAZAI..! afadhali hata serikali inapata wa kuikopesha... sasa mlalahoi huyu atakopa wapi wakati weitingi chaji inaendelea kuongezeka?!!!
Wakati huo huo Deni lake amabalo serikali ilikopa ili viongozi wake wapate kusafiri nje ya ichi kubembea, kutembelea midenge ya kifahali, mishangingi, matanuzi ya wafuta viatu vyao, sitingi alawansi kutoka gorofa ya tatu kwenda gorofa ya pili, DENI linazidi kupaa kutoka tilioni 9 mwaka 2009, likafika tilioni 11 2010 mara vuuuu hadi tilioni 22 mwishoni mwa mwaka jana (2011). SIPENDI KUJUA HADI JUNE 2012 LIMEFIKIA 25 TILLION??? WALA SITAKI KUJUA MKAPA ALIACHA DENI KIASI GANI KABLA YA MKWELE BY 2005.
Mtaji wa siasa sisiem ni ujinga na umaskini wa mdanganyika. Tutaendelea kudanganyika kwa kubemba mimba ya mika kumi kumi, bora mwanafunzi anayebebeshwa ya miezi tisa!
 
Masikini weeee.... NG'OMBE WA MASIKINI HAZAI..! afadhali hata serikali inapata wa kuikopesha... sasa mlalahoi huyu atakopa wapi wakati weitingi chaji inaendelea kuongezeka?!!!
Wakati huo huo Deni lake amabalo serikali ilikopa ili viongozi wake wapate kusafiri nje ya ichi kubembea, kutembelea midenge ya kifahali, mishangingi, matanuzi ya wafuta viatu vyao, sitingi alawansi kutoka gorofa ya tatu kwenda gorofa ya pili, DENI linazidi kupaa kutoka tilioni 9 mwaka 2009, likafika tilioni 11 2010 mara vuuuu hadi tilioni 22 mwishoni mwa mwaka jana (2011). SIPENDI KUJUA HADI JUNE 2012 LIMEFIKIA 25 TILLION??? WALA SITAKI KUJUA MKAPA ALIACHA DENI KIASI GANI KABLA YA MKWELE BY 2005.
Mtaji wa siasa sisiem ni ujinga na umaskini wa mdanganyika. Tutaendelea kudanganyika kwa kubemba mimba ya mika kumi kumi, bora mwanafunzi anayebebeshwa ya miezi tisa!
Kimsingi inatia huruma na mara nyingine hasira sana kuishi kwa this country! Huu waweza kua ufinyu wa upeo wa viongozi wa nchi, kisha ukaamishiwa kwa wananchi tuliokua wengi wenye njaa kali kiasi hata muda wa kuweza kufikiria nn kinafanyika katika nchi yetu hatujabakiziwa!
Kimsingi me naogopa sana jinsi mambo yanavyokwenda! Hivi kwa nn watanzania tusitafute namna at least kuonesha hatutaki hii kitu? Pia issue c kujua ni kiasi gani bali ni nn kimefanyika na hyo pesa coz kimsingi kabisa hii inaonesha kua maskin wa nchi ya tanzania kupitia kodi wanayolipa wana wasubsidize wanasiasa kuishi. Hii ni wazi kabisa kwa kua deni hilo ni kwa matumizi ya wanasiasa wenyewe. Inaumiza sana eti kila mbunge mmoja baada ya kuchaguliwa alipewa hadi 200mil to the highest and 160mil to the lowest! hiyo ni kwa ajili ya kujiandaa na bunge ikwamo ni pamoja na kununua nguo na viatu and some other small status items. Hivi ndugu zanguni watanzania; hawa watu ni kweli kwamba hawkua na nguo kipindi tunawachagua? Na iwezekane vip tuwachague watu kutuwkilisha wakiwa hata hawajajiandaa? Hivi sio kua deni hilo linaongezeka kwa unnecessary shits of this plus others I and you don't know???? Please em tuchukueni hatua watanzania!
 
Masikini weeee.... NG'OMBE WA MASIKINI HAZAI..! afadhali hata serikali inapata wa kuikopesha... sasa mlalahoi huyu atakopa wapi wakati weitingi chaji inaendelea kuongezeka?!!!
Wakati huo huo Deni lake amabalo serikali ilikopa ili viongozi wake wapate kusafiri nje ya ichi kubembea, kutembelea midenge ya kifahali, mishangingi, matanuzi ya wafuta viatu vyao, sitingi alawansi kutoka gorofa ya tatu kwenda gorofa ya pili, DENI linazidi kupaa kutoka tilioni 9 mwaka 2009, likafika tilioni 11 2010 mara vuuuu hadi tilioni 22 mwishoni mwa mwaka jana (2011). SIPENDI KUJUA HADI JUNE 2012 LIMEFIKIA 25 TILLION??? WALA SITAKI KUJUA MKAPA ALIACHA DENI KIASI GANI KABLA YA MKWELE BY 2005.
Mtaji wa siasa sisiem ni ujinga na umaskini wa mdanganyika. Tutaendelea kudanganyika kwa kubemba mimba ya mika kumi kumi, bora mwanafunzi anayebebeshwa ya miezi tisa!
Kimsingi inatia huruma na mara nyingine hasira sana kuishi kwa this country! Huu waweza kua ufinyu wa upeo wa viongozi wa nchi, kisha ukaamishiwa kwa wananchi tuliokua wengi wenye njaa kali kiasi hata muda wa kuweza kufikiria nn kinafanyika katika nchi yetu hatujabakiziwa!
Kimsingi me naogopa sana jinsi mambo yanavyokwenda! Hivi kwa nn watanzania tusitafute namna at least kuonesha hatutaki hii kitu? Pia issue c kujua ni kiasi gani bali ni nn kimefanyika na hyo pesa coz kimsingi kabisa hii inaonesha kua maskin wa nchi ya tanzania kupitia kodi wanayolipa wana wasubsidize wanasiasa kuishi. Hii ni wazi kabisa kwa kua deni hilo ni kwa matumizi ya wanasiasa wenyewe. Inaumiza sana eti kila mbunge mmoja baada ya kuchaguliwa alipewa hadi 200mil to the highest and 160mil to the lowest! hiyo ni kwa ajili ya kujiandaa na bunge ikwamo ni pamoja na kununua nguo na viatu and some other small status items. Hivi ndugu zanguni watanzania; hawa watu ni kweli kwamba hawkua na nguo kipindi tunawachagua? Na iwezekane vip tuwachague watu kutuwkilisha wakiwa hata hawajajiandaa? Hivi sio kua deni hilo linaongezeka kwa unnecessary shits of this plus others I and you don't know???? Please em tuchukueni hatua watanzaniaQ
 
Inauma sana. Deni kuongezeka x2 ndani ya mwaka mmoja????? Pinda akatetea sana kuwa wabunge wanastahili posho? kumbe fedha ya kulipana posho na mashangingi yao ilikuwa kukopa na kuongeza deni la taifa? kwa faida ya nani hasa? mabilioni ya EPA ati yaliyolejesha kwa huruma ya rahisi nayo yamefanya kazi gani? CAG tunaomba kujua kwa nini deni la taifa limepaa kiasi hicho na fedha zilizokopwa zimetumikaje? na kama zilitumika zilizingatia vipaumbele kulingana na bajeti kama ilivyosomwa bungeni June 2011?
 
:biggrin1: hiyo inaboa kweli maana ukienda kwenye ATM nyingine..charge ya bajaji inazidi kuongezeka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom