Masuala ya rainbow yamepandikizwa kwenye katuni za watoto,wazazi tuwe makini

budagala

Member
Jun 11, 2015
54
112
Leo nipo na watoto wangu tunaenda shopping,ghafla mwanangu wa kike aliyepo baby class akaanza kuniomba nimnunulie ice cream za rain bow.Nilishtuka sana,nikamuuliza amejuaje mambo ya rainbow?Akanijibu huyaona yakitangazwa kwenye katuni Masha and the bear.Nimeogopa mno sababu hiyo katuni nilikuwa nawaona kila siku wakiiangalia na sikutilia shaka lolote.Hatua pekee niliyochukua ni kuwaambia kila sehemu wakiona mambo ya rainbow,wajue hao ni mashetani wasiomjua Mungu.Sina hakika kama watoto wamenielewa.Wazazi tuanze kufuatilia katun wanazotizama watoto wetu
 
Sijawahi kufikiria kamwe kama jamii forum kuna mashoga na wasagaji kiasi hiki.

Kiufupi mleta mada huko sahihi.
Mashetani wanatumia nguvu kubwa kuiharibu dunia na vizazi,
Na tusipokuwa making tutapotea
 
natoka kaunta ya chini, naenda yaa juu
nawaona kevin na jelly wako na mr. 2
kwenye makochi meusi wapo masista du, mmoja anani bomb nimnunulie Red Bull
 
Kusema alama ya rainbow ni ishara ya mapenzi ya jinsia moja ni kutotumia akili vizuri na kuruhusu fikira zako zitawaliwe moja kwa moja na fikra za wale walioamua kuitumia nembo hiyo kwa matumizi yanayopingana na wewe.Rainbow ni tukio la asili na limekuwepo kabla ya huo ushoga na inafundishwa hadi kwenye physics classes kwenye topic ya mwanga. kinachokufanya wewe unapoiona unakimbilia kusema ni alama ya ushoga ni kukosa uelewa kuhusu hiyo rangi kunakopelekea hadi unapotosha watoto.Vipi wakiamua kutumia alama ya mnyama twiga nae utasema ni ushetani kisa wameamua iwe nembo yao?
 
Leo nipo na watoto wangu tunaenda shopping,ghafla mwanangu wa kike aliyepo baby class akaanza kuniomba nimnunulie ice cream za rain bow.Nilishtuka sana,nikamuuliza amejuaje mambo ya rainbow?Akanijibu huyaona yakitangazwa kwenye katuni Masha and the bear.Nimeogopa mno sababu hiyo katuni nilikuwa nawaona kila siku wakiiangalia na sikutilia shaka lolote.Hatua pekee niliyochukua ni kuwaambia kila sehemu wakiona mambo ya rainbow,wajue hao ni mashetani wasiomjua Mungu.Sina hakika kama watoto wamenielewa.Wazazi tuanze kufuatilia katun wanazotizama watoto wetu
Ushawahi tazama cartoon ya Sausage party Ile scene ya mwisho?
 
Back
Top Bottom