KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,592
- 4,625
Wote waliochukizwa na namna iliyotumiwa na NSSF kwenye ajira kwa kuonesha upendeleo wa wazi tunatamani sana kituo kinachofuata katika utumbuaji kiwe NSSF ili kuwe na nidhamu katika ajira za utumishi wa Umma.
Nina imani na Rais wetu Samia Suluhu, ni msikivu na mzingatiaji atasikiliza kilio hiki kinachotia doa Serikali na kuvunja mioyo.
Nina imani na Rais wetu Samia Suluhu, ni msikivu na mzingatiaji atasikiliza kilio hiki kinachotia doa Serikali na kuvunja mioyo.