katika utumbuaji, natamani kituo kinachofuata kiwe NSSF .

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,592
4,625
Wote waliochukizwa na namna iliyotumiwa na NSSF kwenye ajira kwa kuonesha upendeleo wa wazi tunatamani sana kituo kinachofuata katika utumbuaji kiwe NSSF ili kuwe na nidhamu katika ajira za utumishi wa Umma.

Nina imani na Rais wetu Samia Suluhu, ni msikivu na mzingatiaji atasikiliza kilio hiki kinachotia doa Serikali na kuvunja mioyo.
 
Picha linaanza wanasema internal job

Sasa sie wengine tunaitwa external
 
Wote waliochukizwa na namna iliyotumiwa na NSSF kwenye ajira kwa kuonesha upendeleo wa wazi tunatamani sana kituo kinachofuata katika utumbuaji kiwe NSSF ili kuwe na nidhamu katika ajira za utumishi wa Umma.

Nina imani na Rais wetu Samia Suluhu, ni msikivu na mzingatiaji atasikiliza kilio hiki kinachotia doa Serikali na kuvunja mioyo.
ACHA UCHAWI WAKO
 
Kwani utumbuaji bado upo? Utumbuaji alienda nao kamarade Magufuli, sasa hivi ni enzi za kila mmoja kula kwa urefu wa kamba yake.
 
Wote waliochukizwa na namna iliyotumiwa na NSSF kwenye ajira kwa kuonesha upendeleo wa wazi tunatamani sana kituo kinachofuata katika utumbuaji kiwe NSSF ili kuwe na nidhamu katika ajira za utumishi wa Umma.

Nina imani na Rais wetu Samia Suluhu, ni msikivu na mzingatiaji atasikiliza kilio hiki kinachotia doa Serikali na kuvunja mioyo.
Maombi yako yatakugeuka
 
Back
Top Bottom