Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Nashangaa wamekubaliana wasitaje jina la Mkuchika lakini mabango mengi yana jina hilo!
Kumbe jina la Mkuchika litaendelea kutamba pamoja na kifungo kutoisha
``We would like to put the record straight that all the local newspapers, television and radio stations will no longer cover Mkuchika by any means``
Editors Forum chairperson Sakina Datoo
Ndio maana nilisema uamuzi wa kugoma kum cover Mkuchika ni kichekesho as long as he remains the minister of information. Hususan ambae mnamwona ni dikteta.
Sasa taarifa za haya maandamo kuhusu vitendo vya Mkuchika ina maana hawataandika kwenye magazeti kesho ? Manake ni habari za kuhusu Mkuchika hizi. Au sio ?
Hawa waandishi nao wamedata. Huwezi kusema unamuwekea mtu media blackout halafu unaandamana dhidi yake ku call attention kuhusu issue za mtu huyo huyo.
Yani kwa mawazo yao, kumwandika Mkuchika ni kama benefit au favor hivi kwa Mkuchika. Na kumgomea ni kama punishment fulani, wanadhani. Kumbe wanamnyima kunde. Hawajui hata walichogomea ni nini hasa.