Katika Picha: Maandamano ya wanahabari Leo

Status
Not open for further replies.
i83_DSC02414.JPG

Bwana Kibanda
Alisema kuwa kinachosisitizwa na Jukwaa la Wahariri si kwamba kilichoandikwa na MwanaHalisi ni sahihi ama si sahihi lakini akatoa dodoso kuwa kuna gazeti flani la leo limeandika habari ileile japo kwa namna tofauti.

Wana JF , samahani kama hoja yangu inaweza ikamuudhi mtu , nauliza kwa kutaka kujua hili swala ambalo nimeishawahi kulizungumzia huko nyuma. Ukikasirika niite majina yeyote yale, lakini usisahau kujibu hoja yangu, naamini mtanielewa.

Sikufurahi Kubenea kufungiwa , lakini pia sikufurahi alivyoripoti taarifa yake, taarifa yake imejaa uncertanities nyingi. Alivyokuwa akiripoti saga kibao zilizopita alijitahidi kuweka na vithibitisho. Naamini taarifa ile ingekuwa na vithibitisho fulani ingemuwia vigumu hata waziri kulifungia lile gazeti.

Kumbukeni, na hata yeye SK anaeelewa hilo watu wana view mbalimbali kuhusiana na gazeti lake wako wanaosema la muungwana, kwa wachache wanamapinduzi tunaona si kweli, lakini ukiifanyia analyisis ile taarifa yake unaona kama ilikuwa na lengo la kumuinua Kikwete machoni pa watu wengi, kuwa aonekane kuwa ana vita na mafisadi, kumbe vita yenyewe ni personal zaidi.

Kubenea kama mwanamapinduzi( niaminivyo mimi) alitakiwa awe mwangalifu na habari ile maana kama kweli ni adui wa serikali basi walikuwa wanatafuta chance,SASA ONA KIBANDA ANAVYOSEMA HAPO JUU KUWA ILE TAARIFA SIYO SAHIHI, HIVYO ANAONA KWA SABABU WENGINE WANAANDIKA KAMA ALIVYOANDIKA KUBENEA BASI ASIFUNGIWE!!!. Kubenea anatakiwa kuwa tofauti kama tofauti ambayo tayari ameishaionyesha kuwa gazeti lake ni taa! alitakiwa kuwa macho sana kuwa anatafutwa. hivyo basi wahariri ninawauliza



1. Kama kubenea mnakiri kuwa taarifa yake haikuwa sahihi mnataka tuseme kuwa akifanya makosa asiwe punished simply because ana rekodi nzuri?

2. Kwa maneno ya Kibanda; Je ni habari ngapi ambazo zinaandikwa nchini aidha hazina vithibitisho( kumbukeni tarime) ambazo huwa published kila siku? we have to do some investigative news, kama SK naye taarifa haikuwa imeiva angecool down, au ndiyo utamaduni wa wahariri wengi(kuwa kama ALASIRI) title is good but content is gabbage? kisa mnataka tununue tu magazeti yenu?

3. Je niandike habari mbovu/mbaya haijahaririwa kwa sababu na gazeti lingine wanafanya hivyo?

4. Katika wahariri walioandamana ni wangapi basi ambao wameshaandika taarifa mbalimbali walau kama SK?

5. Mnaonyesha (wahariri/waandishi) mko wengi sana ukiachilia mbali na taarifa za ufisadi chache tunazozipata kupitia magazeti machache, je mmekubaliana nini? mtaandika kama Kubenea?,mngeieleza serikali kuwa mtaandika zaidi ya Kubenea, mnataka kubenea afunguliwe ili nyie muendelee kuwadumaza watanzania kwa habri za udaku na ugoni, huku maovu yamejificha kila kona Tanzania hayaripotiwi?

6. Mlipotoa kifungo kwa mkuchika hamuoni kuwa mna prove kumbe kuandikwa gazetini ni mpaka uwe 'somebody' na sio kwa manufaa ya wananchi? na msiowaandika nao mmewafungia? Kwa nini msimfungie Kikwete na usanii wake anaouleta hapa TZ? hamuwezi? why?

7. Kubenea, ni lini na namna gani anaweza kuthibitisha ukweli wa habari yake? maana kama umefungiwa kwa' uzembe' wako kama kibanda anavyosema je huoni hujatutendea haki sisi wananchi tunaoamini kuwa wewe ni smart guy

8. Je kabla ye Kubenea kufungiwa wahariri walikuwa hawajui kuwa sheria ya mwaka 76 imepitwa na wakati?(au hamsomi JF?) na je SK akifunguliwa leo mmejiandaa vipi kupingana na sheria hiyo?

9. Waandishi wa habari muwe mfano, vyama vya upinzani havitafanikiwa mpaka katiba ibadilishwe, je waandishi wa habari kama watu wa mstari wa mbele katika mapambano yeyote, hamuoni inaonyesha siku zote mnafanya kazi chini ya kiwango? tangu 76 ??

10. Kibanda ukisema kuwa habari ya SK haikuwa sahihi, ila unashangaa gazeti lingine limeandika kama hivyo unataka kutupa picha gani? huoni kuwa kuna ka utoto fulani hapa ambako nikidescribe vizuri nitaonekana nakutukana? why dont you be smart mpaka 'MAADUI WAKIWA NA NENO JUU YAKO WASHINDWE PA KUANZIA'

wenu katika lindi la mawazo

waberoya
 
Wana JF , samahani kama hoja yangu inaweza ikamuudhi mtu , nauliza kwa kutaka kujua hili swala ambalo nimeishawahi kulizungumzia huko nyuma. Ukikasirika niite majina yeyote yale, lakini usisahau kujibu hoja yangu, naamini mtanielewa.

Sikufurahi Kubenea kufungiwa , lakini pia sikufurahi alivyoripoti taarifa yake, taarifa yake imejaa uncertanities nyingi. Alivyokuwa akiripoti saga kibao zilizopita alijitahidi kuweka na vithibitisho. Naamini taarifa ile ingekuwa na vithibitisho fulani ingemuwia vigumu hata waziri kulifungia lile gazeti.

Kumbukeni, na hata yeye SK anaeelewa hilo watu wana view mbalimbali kuhusiana na gazeti lake wako wanaosema la muungwana, kwa wachache wanamapinduzi tunaona si kweli, lakini ukiifanyia analyisis ile taarifa yake unaona kama ilikuwa na lengo la kumuinua Kikwete machoni pa watu wengi, kuwa aonekane kuwa ana vita na mafisadi, kumbe vita yenyewe ni personal zaidi.

Kubenea kama mwanamapinduzi( niaminivyo mimi) alitakiwa awe mwangalifu na habari ile maana kama kweli ni adui wa serikali basi walikuwa wanatafuta chance,SASA ONA KIBANDA ANAVYOSEMA HAPO JUU KUWA ILE TAARIFA SIYO SAHIHI, HIVYO ANAONA KWA SABABU WENGINE WANAANDIKA KAMA ALIVYOANDIKA KUBENEA BASI ASIFUNGIWE!!!. Kubenea anatakiwa kuwa tofauti kama tofauti ambayo tayari ameishaionyesha kuwa gazeti lake ni taa! alitakiwa kuwa macho sana kuwa anatafutwa. hivyo basi wahariri ninawauliza



1. Kama kubenea mnakiri kuwa taarifa yake haikuwa sahihi mnataka tuseme kuwa akifanya makosa asiwe punished simply because ana rekodi nzuri?

2. Kwa maneno ya Kibanda; Je ni habari ngapi ambazo zinaandikwa nchini aidha hazina vithibitisho( kumbukeni tarime) ambazo huwa published kila siku? we have to do some investigative news, kama SK naye taarifa haikuwa imeiva angecool down, au ndiyo utamaduni wa wahariri wengi(kuwa kama ALASIRI) title is good but content is gabbage? kisa mnataka tununue tu magazeti yenu?

3. Je niandike habari mbovu/mbaya haijahaririwa kwa sababu na gazeti lingine wanafanya hivyo?

4. Katika wahariri walioandamana ni wangapi basi ambao wameshaandika taarifa mbalimbali walau kama SK?

5. Mnaonyesha (wahariri/waandishi) mko wengi sana ukiachilia mbali na taarifa za ufisadi chache tunazozipata kupitia magazeti machache, je mmekubaliana nini? mtaandika kama Kubenea?,mngeieleza serikali kuwa mtaandika zaidi ya Kubenea, mnataka kubenea afunguliwe ili nyie muendelee kuwadumaza watanzania kwa habri za udaku na ugoni, huku maovu yamejificha kila kona Tanzania hayaripotiwi?

6. Mlipotoa kifungo kwa mkuchika hamuoni kuwa mna prove kumbe kuandikwa gazetini ni mpaka uwe 'somebody' na sio kwa manufaa ya wananchi? na msiowaandika nao mmewafungia? Kwa nini msimfungie Kikwete na usanii wake anaouleta hapa TZ? hamuwezi? why?

7. Kubenea, ni lini na namna gani anaweza kuthibitisha ukweli wa habari yake? maana kama umefungiwa kwa' uzembe' wako kama kibanda anavyosema je huoni hujatutendea haki sisi wananchi tunaoamini kuwa wewe ni smart guy

8. Je kabla ye Kubenea kufungiwa wahariri walikuwa hawajui kuwa sheria ya mwaka 76 imepitwa na wakati?(au hamsomi JF?) na je SK akifunguliwa leo mmejiandaa vipi kupingana na sheria hiyo?

9. Waandishi wa habari muwe mfano, vyama vya upinzani havitafanikiwa mpaka katiba ibadilishwe, je waandishi wa habari kama watu wa mstari wa mbele katika mapambano yeyote, hamuoni inaonyesha siku zote mnafanya kazi chini ya kiwango? tangu 76 ??

10. Kibanda ukisema kuwa habari ya SK haikuwa sahihi, ila unashangaa gazeti lingine limeandika kama hivyo unataka kutupa picha gani? huoni kuwa kuna ka utoto fulani hapa ambako nikidescribe vizuri nitaonekana nakutukana? why dont you be smart mpaka 'MAADUI WAKIWA NA NENO JUU YAKO WASHINDWE PA KUANZIA'

Shujaa Kubenea, anao ushahidi ambao licha ya kuonywa na mawakili wake kuwa asiutoe anywhere sispokuwa kwenye sheria tu, pia alipowajibu serikali aliwakumbusha kua anao ushahidi wa kutosha na kwamba yuko radhi kuutoa kwenye mkono wa sheria, sasa tulitegemea serikali itampeleka kwenye sheria, lakini haikudai tena ushahidi wala anything, ikalifungia gazeti!

Sasa unless una akili kuliko za mwawakili wake, ninayaamini maneno yote ya Kubenea kwa sababu kwanza zile habari zilisemwa na Mbunge Sendeka, kwenye kikao cha NEC cha Dodoma, baadaye zikarudiwa tena kwenye kikao cha CC cha Nape, magazeti yote bongo yalishaziandika mapema sana, kua kuna kikundi kinachojitayarisha kuchukua madaraka ndani ya CCM.

Mabalozi wa EU wamesema wamtembelea gazeti hilo na kuona kila kitu kilichopelkea kufungiwa kwa gazeti, wakaitaka serikali kujibu ni kwa nini wamelifungia gazeti hilo, Waziri wa nje akadai hakuwepo nchini, serikali inajua wazi kuwa ushahidi upo lakini sio siri kuwa haiutaki na haitaki ufike kwenye sheria.

Otherwsie, Mwanahalisi litarudi very soon na kazi ya kupambana na mafisadi itaendelea kama kawaida, kwenye hivi vita vya mafisadi pia tunafutana na makenge we know that, lakini hatuwezi kukatishwa tamaa hata mara moja, huwezi kupigana vita na silaha usiyokuwa nayo, na kwenye vita na mapenzi yote hukubaliwa, huwa hatuchagui silaha.

Hatutakatihswa tamaa hata siku moja, wembe ni ule ule mpaka kieleweke, hoja kama hizi ni changamoto tu kwamba litakporudi mawe yawe ya moto kuliko mwanzoni na hilo wala sio tatizo!
 
Wanannji hii hawataambiwa ukweli isipokuwa mawakili tu.

Hongera Kubenea endelea hivyo hivyo.
 
Kuna ya wananchi na kuna ya sheria, huwezi kuyachanganya maana adhabu yake inaweza kua zaidi ya kufungiwa miezi mitatu tu ya gazeti, wanaojua zaidi walishayaona hayo!

Unajua kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza, ingawa ni vigumu kukubali kuwa hulijui na hutalijua maana huwezi kulijua! na huwezi kukubali kuwa hujui, kwa sababu hujui, na kwa sababu hujui huambiwi hujui, ila unaambiwa unajua kwa sababu unajifanya unajua wakati hujui!
 
Lets face it

Media in Tanzania is a joke....na hao the so called JOURNALISTS ni vichekesho

Cha ajabu MWANAHALISI/SUED KUBENEA hajawahi ku acknowlege JF kwa mambo anayokuja kunyonya humu
 
Cha ajabu MWANAHALISI/SUED KUBENEA hajawahi ku acknowlege JF kwa mambo anayokuja kunyonya humu

Mkuu GT,

Heshima mbele, lakini si hata sisi JF hunyonya ya magazeti ya bongo, ina maana na sisi tunachekesha kwa sababu tunatumia habari zao wanaochekesha kwa maneno yako?

Binafsi ninawaheshimu sana baadhi yao, kwa sababu wanafanya kazi katika mazingara magumu sana ingawa ni kweli kwamba kuna wengine kati yao ni a big joke, lakini kama CCM sio viongozi wote mafisadi, ni baadhi tu, so is waandishi wetu, au?
 
bora kutokujua na kukubali kuwa hujui kuliko kuwa know all best.

Kwa nini ukweli asingeuweka at the first place, alijua atafungiwa au atapelekwa mahakamani ndio akatolee ukweli huko. If thats the case its best not to know.
 
Mpaka siku tutakapoelewa kwamba Tanzania sio USA, otherwise sometimes huwa tunafukuza sana hewa! Tukiamini tunajua kumbe ni hewa tupu na mapovu ya bure!
 
Bwa! ha! ha! ha! ha! bongo bado iko vile vile, tunatoa heshima kwa wanaojaribu angalau kufanya something kuibadili ili tunufaike wengine mbele ya safari.

Hata wakitukanwa na kukebehiwa, change is coming hilo halina ubishi.
 
Anyways, tunayoyajua tunayajua tusiyoyajua huwa tunauliza, lakini sio dhambi kujua tunayoyajua na sio dhambi kutokujua,

Chuki na wivu hatuwezi kutoa msaaada, we just can't help!
 
Travertine ijumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ndio kwenye kurushana roho, uswahili wa kizamani.
 
Lets face it

Media in Tanzania is a joke....na hao the so called JOURNALISTS ni vichekesho

Cha ajabu MWANAHALISI/SUED KUBENEA hajawahi ku acknowlege JF kwa mambo anayokuja kunyonya humu

Mkuu,
Ku-generalize kwamba Media in TZ is a joke ni kutovitendea haki baadhi ya vyombo vya habari huko nyumbani ambavyo licha ya kukabiliana na ushindani mkubwa wa soko (daily papers,for example,seem to "mutate" on daily basis),vinaandamwa na mafisadi kila vinapoandika habari zinazogusa maslahi yao (mafisadi).

Of course,Uhuru/Mzalendo is more than a joke,as it it NEW Habari corp papers or TBC.Lakini tuna magazeti kama Mwanahalisi,Raia Mwema,Cheche la Mwanakijiji,na mengineyo ambayo kwa kiasi kikubwa yameamua "liwalo na liwe" lakini haiwezekani HABARI IWE NI ILE TU INAYOWAPENDEZA WATAWALA NA VIBARAKA WAO.

Ni rahisi kui-label media in Tanzania is a joke kama "utapuuza" namna vyombo mbalimbali vya habari vinavyofanya kazi ktk mazingira magumu huko nyumbani.Jamaa mmoja wa This Day aliwahi kuniambia namna Lowassa alivyowakalia kooni kuwanyima matangazo yanayotoka serikalini.Sasa katika nchi ambayo usomaji wa magazeti is a luxury only a few could afford,umuhimu wa matangazo katika gazeti couldn't stressed more.

Hebu tu-single out case ya Mwanahalisi.Hivi Kubenea&Co wangeamua kuusaliti umma na "kuuza" habari hizo kwa wahusika just like Shigongo anavyocheza na skandali za wenye hela,leo hii gazeti lake si lingeendelea kuwa kwenye circulation?

Tuchukulie mfano mwingine:Raia Mwema.Najua GT ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ya huko nyumbani,na hivyo nina hakika unafahamu vyema namna RAI ya kina Ulimwengu ilivyohujumiwa na Salva na Shoo,na hivyo kulazimisha gazeti hilo kuangaukia mikononi mwa Rostam.Ulimwengu alijikuta akivuliwa uraia kutokana na kutofautiana na Mkapa,na kama angekuwa na moyo mwepesi basi aidha angeachana na fani ya habari na hivyo Raia Mwema lisingezaliwa,au angefuata "burasa" kuwa if you cant fight them,join them.

Hivi JF sio sehemu ya Media?Is it a joke too?Vipi wenzetu Maxence Mello na Mushi waliopata usumbufu usioelezeka lakini hawakuvunjika moyo,wakasimama kidete na leo hii JF inaendelea kuwa moja ya mapinduzi makubwa ya upashanaji habari Tanzania has ever seen?This cant be a joke!

Finally,The Daily Mail,The Sun,The Express and The Telegraph could be regarded as a joke to a liberal who's fond of The Guardian,The Independent au Daily Mirror,and vice versa.Same could be applied to Fox News.Kwa liberals,"Faux News" is more than a joke,kwa conservatives it's more than a precious gem.It comes down to MTAZAMO.
 
Serikali yalikana Jukwaa la Wahariri
Godwin Myovela
Daily News; Wednesday,October 29, 2008 @00:03

Serikali imesema hailitambui Jukwaa la Wahariri, ambalo lilifanya maandamano ya amani Dar es Salaam jana, kupinga kufungiwa kwa gazeti la kila wiki la MwanaHalisi. Akipokea maandamano hayo yaliyoanzia Mtaa wa Lugoda, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam na kumalizikia jengo la Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Habib Nyundo, alisema Jukwaa hilo halijasajiliwa na halitambuliki.

"Tulipokea barua ya kutuarifu kuwapo kwa maandamano haya, lakini kichwa cha habari cha barua hiyo kiliandikwa Jukwaa la Wahariri, sasa nashauri labda mngebadilisha jina sababu jukwaa hili halijasajiliwa na halitambuliki. Kuna Jukwaa la Wahariri ambalo lipo na limesajiliwa," alisema Nyundo.

Aidha, baada ya kupokea maandamano hayo, alieleza kuwa Waziri wa Habari ambaye ndiye aliyestahili kupokea ujumbe wa maandamano hayo yuko bungeni Dodoma na atajibu ujumbe huo atakaporudi. Katika maandamano hayo, wahariri na wanaharakati mbalimbali waliojumuika, waliziba midomo yao kwa plasta, kwa madai kuwa serikali imewafumba midomo wasiseme wala kufichua maovu.

"Jamani mbona mmeziba midomo, mimi nasikitika, sababu sijui tutazungumzaje na nyie, wakati midomo imezibwa," alihoji Nyundo. Naye, Kaimu Mwenyekiti wa Jukwaa hilo, Absalom Kibanda, alisema kama serikali hailitambui jukwaa hilo, wao wanalitambua na wahariri wake wamesajiliwa na wanatambulika kisheria MAELEZO. Oktoba 14, mwaka huu, serikali ilitangaza kulifungia gazeti hilo kwa kuandika habari kwamba kuna mpango wa kumng'oa Rais Jakaya Kikwete ili asigombee urais mwaka 2010.
 
Bwa! ha! ha! ha! ha! bongo bado iko vile vile, tunatoa heshima kwa wanaojaribu angalau kufanya something kuibadili ili tunufaike wengine mbele ya safari.

Hata wakitukanwa na kukebehiwa, change is coming hilo halina ubishi.

Siku zote hawako tayari kukubali ukweli na hivyo kujisahihisha kwa makosa waliyoyafanya. Watapindisha ukweli ili maamuzi yao ndiyo yaonekane yako sahihi. Wanachokosea ni kwamba Watanzania sasa wamechoka kudanganywa kila kukicha, kuonekana hawajui lolote na kupewa taarifa toka serikalini zisizo na ukweli wowote, kama hawakubadilika haraka basi wana safari ngumu siku za usoni maana yaliyotokea Tarime yanaweza kusambaa katika majimbo mbali mbali nchini na hatimaye kuwang'oa madarakani.
 
Shujaa Kubenea, anao ushahidi ambao licha ya kuonywa na mawakili wake kuwa asiutoe anywhere sispokuwa kwenye sheria tu, pia alipowajibu serikali aliwakumbusha kua anao ushahidi wa kutosha na kwamba yuko radhi kuutoa kwenye mkono wa sheria, sasa tulitegemea serikali itampeleka kwenye sheria, lakini haikudai tena ushahidi wala anything, ikalifungia gazeti!

Sasa unless una akili kuliko za mwawakili wake, ninayaamini maneno yote ya Kubenea kwa sababu kwanza zile habari zilisemwa na Mbunge Sendeka, kwenye kikao cha NEC cha Dodoma, baadaye zikarudiwa tena kwenye kikao cha CC cha Nape, magazeti yote bongo yalishaziandika mapema sana, kua kuna kikundi kinachojitayarisha kuchukua madaraka ndani ya CCM.

Mabalozi wa EU wamesema wamtembelea gazeti hilo na kuona kila kitu kilichopelkea kufungiwa kwa gazeti, wakaitaka serikali kujibu ni kwa nini wamelifungia gazeti hilo, Waziri wa nje akadai hakuwepo nchini, serikali inajua wazi kuwa ushahidi upo lakini sio siri kuwa haiutaki na haitaki ufike kwenye sheria.

Otherwsie, Mwanahalisi litarudi very soon na kazi ya kupambana na mafisadi itaendelea kama kawaida, kwenye hivi vita vya mafisadi pia tunafutana na makenge we know that, lakini hatuwezi kukatishwa tamaa hata mara moja, huwezi kupigana vita na silaha usiyokuwa nayo, na kwenye vita na mapenzi yote hukubaliwa, huwa hatuchagui silaha.

Hatutakatihswa tamaa hata siku moja, wembe ni ule ule mpaka kieleweke, hoja kama hizi ni changamoto tu kwamba litakporudi mawe yawe ya moto kuliko mwanzoni na hilo wala sio tatizo!

Mkuu naomba ujibu na mengine mengi, we have to admit where we made mistake, and how to remedy for future, usimtetee Kubenea, pitia mswali yangu 10 yote yanarelate.

BY THE WAY ANAYETAKIWA KUFUNGUA KESI NI NANI? NI KUBENEA AU SERIKALI, WAMESHAMFUNGIA! WAMEMALIZA KAZI KAMA KUBENEA HE IS SURE? KWA NINI ASIENDE MAHAKAMANI? EU siyo standard wala siyo dira ya kutuonyesha nani mwenye makosa! na kama akirudi LAZIMA SERIKALI ITUELEZE NI NANI MWENYE MAKOSA! AU NI YALEYALE CHANGA LA MACHO KUWA GAZETI NI LA JK?? KUBENEA LAZIMA ASEME UKWELI NA AUWEKE WAZI ALILIANZISHA YEYE, personally akirudi nitazidi kususpect taarifa ile ni ya kumsifia Kikwete ambaye hafanyi lolote nchi hii juu ya mafisadi? ukweli utajulikana

Kuna ya wananchi na kuna ya sheria, huwezi kuyachanganya maana adhabu yake inaweza kua zaidi ya kufungiwa miezi mitatu tu ya gazeti, wanaojua zaidi walishayaona hayo!

Unajua kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza, ingawa ni vigumu kukubali kuwa hulijui na hutalijua maana huwezi kulijua! na huwezi kukubali kuwa hujui, kwa sababu hujui, na kwa sababu hujui huambiwi hujui, ila unaambiwa unajua kwa sababu unajifanya unajua wakati hujui!

Kumbuka aliiweka hii taarifa gazetini na wanchi wakasoma! linapotokea tatizo habari inakuwa si ya wanchi tena bali ya mawakili? kama Kubenea haku7jua anachofanya ni makosa na inaenda kinyume na ethic za kazi zake tusiseme? by the way

kwanini kibanda aseme

''Wahariri si kwamba kilichoandikwa na MwanaHalisi ni sahihi lakini..."

JIBU LAKO FM; LINAELEZEA KUBENEA HAKUTUMIA BUSARA KUANDIKA ILE TAARIFA!!!, MPAKA MAWAKILI WAKE WANAMZUIA ASISEME!!! INA MAANA WAS HEAVY NEWS!!! ISN'T IT, HIVI KIUANDISHI NI LAZIMA UANDIKE HABARI YEYEOTE ILE? NINI MAANA YA UHARIRI?

MKINIELEWESHA SWALA LA KIBANDA, KUSEMA KUBENEA ALIKOSEA NITAWAELEWA AU KUBENEA ANATAKIWA AFANYE MAKOSA KWA SABABU NI KUBENEA? au kwa sababu wengine wanafanya? at what point should we sit down na kujiona mmioja wa wapiganaji wenzetu walishika silaha vibaya na tujipange yasitokee tena? au vita hatuangalii tunapokosea? he made mistake so as government but who is strong then? who is looser now? government or citizen? I guess is we, I am the most looser and Kubenea is a source!


Rudia maswali yangu 10, kama na wewe ni mhariri nijibu au kama unataka kuwasaidia wahariri sawa!

waberoya
 
Mkuu,
Ku-generalize kwamba Media in TZ is a joke ni kutovitendea haki baadhi ya vyombo vya habari huko nyumbani ambavyo licha ya kukabiliana na ushindani mkubwa wa soko (daily papers,for example,seem to "mutate" on daily basis),vinaandamwa na mafisadi kila vinapoandika habari zinazogusa maslahi yao (mafisadi).

Of course,Uhuru/Mzalendo is more than a joke,as it it NEW Habari corp papers or TBC.Lakini tuna magazeti kama Mwanahalisi,Raia Mwema,Cheche la Mwanakijiji,na mengineyo ambayo kwa kiasi kikubwa yameamua "liwalo na liwe" lakini haiwezekani HABARI IWE NI ILE TU INAYOWAPENDEZA WATAWALA NA VIBARAKA WAO.

Ni rahisi kui-label media in Tanzania is a joke kama "utapuuza" namna vyombo mbalimbali vya habari vinavyofanya kazi ktk mazingira magumu huko nyumbani.Jamaa mmoja wa This Day aliwahi kuniambia namna Lowassa alivyowakalia kooni kuwanyima matangazo yanayotoka serikalini.Sasa katika nchi ambayo usomaji wa magazeti is a luxury only a few could afford,umuhimu wa matangazo katika gazeti couldn't stressed more.

Hebu tu-single out case ya Mwanahalisi.Hivi Kubenea&Co wangeamua kuusaliti umma na "kuuza" habari hizo kwa wahusika just like Shigongo anavyocheza na skandali za wenye hela,leo hii gazeti lake si lingeendelea kuwa kwenye circulation?

Tuchukulie mfano mwingine:Raia Mwema.Najua GT ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ya huko nyumbani,na hivyo nina hakika unafahamu vyema namna RAI ya kina Ulimwengu ilivyohujumiwa na Salva na Shoo,na hivyo kulazimisha gazeti hilo kuangaukia mikononi mwa Rostam.Ulimwengu alijikuta akivuliwa uraia kutokana na kutofautiana na Mkapa,na kama angekuwa na moyo mwepesi basi aidha angeachana na fani ya habari na hivyo Raia Mwema lisingezaliwa,au angefuata "burasa" kuwa if you cant fight them,join them.

Hivi JF sio sehemu ya Media?Is it a joke too?Vipi wenzetu Maxence Mello na Mushi waliopata usumbufu usioelezeka lakini hawakuvunjika moyo,wakasimama kidete na leo hii JF inaendelea kuwa moja ya mapinduzi makubwa ya upashanaji habari Tanzania has ever seen?This cant be a joke!

Finally,The Daily Mail,The Sun,The Express and The Telegraph could be regarded as a joke to a liberal who's fond of The Guardian,The Independent au Daily Mirror,and vice versa.Same could be applied to Fox News.Kwa liberals,"Faux News" is more than a joke,kwa conservatives it's more than a precious gem.It comes down to MTAZAMO.

May be he meant magazeti tu.., AU COMMON MISTAKE TULIYONAYO!, ni kawaida sana kuwasema vibaya makonda wote, viongozi wote, mainjinia wote, madaktari wote , manesi wote, haya huwa hayakwepeki, kama unahakika wewe personally huko OK,no Problem, kama pia una hakika wengine wako Ok, no problem, NI KAWAIDA KUGENERALIZE HASA WATU WANAPOKASIRIKA KITU FULANI.BY THE WAY YEYE MWENYEWE YUMO JF na pia ameadmit kuwa JF ni mahali sahihi , ambako Kubenea anapata taarifa, so he did not meant all Media though you can simply judge him by his words, we sometime have to think twice before condemning people


waberoya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom