baluhya M.
Member
- Apr 22, 2011
- 33
- 79
kuweka msimamo wetu kama TAIFA juu ya mgogoro wa ziwa Nyasa na wenzetu malawi ilikuwa ni hatua muhimu na ya lazima(Kwenye chemistry this is called a necessary step towards reaction),bila kuweka masimamo wetu wa kwamba tuko tayari kama taifa kulinda nchi yetu na mipaka yake kwa GHARAMA YOYOTE wamalawi wasingeweza kulipa uzito swala la majadiliano makini(serious) yenye malengo mahuhusi ya kufikia mwafaka.