Katika ajali ya ndege Iliyotokea juzi CCM imeonesha kwanini ni Chama Tawala mpaka leo na kwanini CHADEMA imeshindwa hata kupaka rangi ofisi zake

Ndugu zangu katika Ajari ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Hii tabia ya kuingiza siasa mwenye matatizo ya watu ni ajabu Sana, ndo maana ccm Mungu ameisha ipiga burn, watu wapo KWENYE majonzi familia zimekosa wapendwa wao 19, nyie mnaleta mzaa,

Mpaka Sasa hakuna jipya ccm itawambia watanzania, miaka 60 ya uhuru ndege inavutwa na mikono Sasa Hapa Chadema inaingiaje ? Kwani Chadema ilisha kuwa Madarakani ?
 
Hii tabia ya kuingiza siasa mwenye matatizo ya watu ni ajabu Sana, ndo maana ccm Mungu ameisha ipiga burn, watu wapo KWENYE majonzi familia zimekosa wapendwa wao 19, nyie mnaleta mzaa,

Mpaka Sasa hakuna jipya ccm itawambia watanzania, miaka 60 ya uhuru ndege inavutwa na mikono Sasa Hapa Chadema inaingiaje ? Kwani Chadema ilisha kuwa Madarakani ?
Katika suala hili la ajari CCM muda wote ilikuwa na wahanga na kuungana nao katika kuwapa faraja na kuwatia moyo ndugu wa Marehemu katika kipindi hiki kigumu wanachopitia ,ambapo wengine wamebaki Yatima na wengine wajane, Tuendelee kuungana pamoja pale kunapotokea tukio Kama hili linalogusa wote Kama Taifa, Tusilete uchama na siasa Kama walivyofanya Chadema
 
Katika suala hili la ajari CCM muda wote ilikuwa na wahanga na kuungana nao katika kuwapa faraja na kuwatia moyo ndugu wa Marehemu katika kipindi hiki kigumu wanachopitia ,ambapo wengine wamebaki Yatima na wengine wajane, Tuendelee kuungana pamoja pale kunapotokea tukio Kama hili linalogusa wote Kama Taifa, Tusilete uchama na siasa Kama walivyofanya Chadema
Unaongea nini wewe, eti ccm ,sema Serikali ambayo ni ya watu wote, inasema ccm , mbona hatukuona uongozi wa ccm Mkoa Hata mmoja wao akivuta kamba KWA mkono?

Wewe unafikili Waziri mkuu , CHALAMILA alikua pale KWA niaba ya ccm au Serikali?

Mnashindwa tambua mipaka ya chama na Serikali , ALAFU mwajiona mko sawa kweli, ccm inawanachama wa ovyo Sana,

Je unajuaje wananchi waliokua wanasaidia kuvuta ndege Kwamba ni wa ccm au wachadema ,na vipi ukikuta wengi ni wanachama wa chadema utasemaje? Na ukizingatia bk Mjini chadema ina wanachama wengi kuliko chama chochote tz.

Usiniulize KWA nini Mbunge wa pale ni ccm wakati mnajua na yeye anajua mliiba kura,
 
Sawa mkuu Naheshimu mawazo yako japo natofautina nayo na siwezi kukutukana maana Namheshimu kila mtu
IMG_20221108_191239.jpg
 
Kataa kubali lakini ukweli ni kuwa Lucas Mwashambwa ni member anayedharaulika kuliko wote hapa jf kwa sasa. Sasa kila anayeona thread yake anaidharau na hawasomi tena kwani ni mashudu tupu ya kujikomba kwa Rais. Anaboa sana huyu mtu.
 
Ndugu zangu katika Ajari ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
katika nchi hii kila kundi lina machaguo yake.

Ccm - wanataka kutawala milele

Chadema - wanataka uhuru wa kuongea tu

wananchi - uzalendo, kujaliwa na kula yao tu na maisha yawe rahisi
 
Ndugu zangu katika Ajari ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Eti expert hujui hujuma wanazopitia nyam....u
 
Ndugu zangu katika Ajari ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Hakyanan tz bado san kuweza kusonga mbele na kufanya revolution ya maendeleo ya nchi hasa kwa watu wenye akili kama hizi🚮🚮🚮
 

Attachments

  • IMG_20221017_200817.jpg
    IMG_20221017_200817.jpg
    103.1 KB · Views: 3
Ndugu zangu katika Ajali ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa na Imani nayo,CCM imeonyesha sababu ya watanzania kuipigania na kuilinda kwa nguvu zao zote na kwa gharama zote kuhakikisha CCM Inaendelea kuwepo madarakani

Wakati CCM imeonyesha kuguswa ,kuumizwa,kuhuzunishwa,kusikitishwa na ajari hii iliyochukua uhai wa watanzania wenzetu ,Wao CHADEMA wameonekana kukifanya suala hili kuwa la kisiasa na mtaji wao katika kipindi hiki Cha majonzi, wakati CCM imejikita katika kuunganisha Taifa na watanzania wote, kuwaombea majeruhi kupona haraka, kufika eneo la tukio kutoa msaada wa kibinadamu kwa wahanga, Wao CHADEMA ni Kama imekuwa furaha kwao, Ni Kama wamepata Cha kuongea, Ni Kama walitamani wapoteze wote maisha ili wapate vya kuongea wiki nzima,Ni Kama walikuwa wanasubiri vya kupost kwenye kurasa zao, Ni Kama walikuwa Kama mafisi wanaosubiri mkono udondoke waokote, hawakufurahishwa na habari za uokoaji wa abiria takribani 26

Chadema imekuwa na Tabia Kama za mchawi anayeweza kuuwa hata mwanaye, Hawafurahishwi Wala kupenda kusikia habari za Rais wetu kuagiza kupewa ajira kwa kijana Majaliwa, wao Ni kupinga pinga kila kitu, wakati CCM inahangaika na wahanga kuwasaidia, wao wanahangaika kuitisha mikutano na waandishi wa Habari kuropoka utoto na ujinga

Cha kusikitisha Ni kuwa CHADEMA Tangia kisajiliwe kwake miaka ya 90 mwanzoni lakini mpaka Leo kimeshindwa hata kupaka tu Rangi katika ofisi zao, wameshindwa hata kubadilisha madirisha ili yaweze kupitisha hewa vizuri wanapokuwa wamerundikana mule ndani,wameshindwa hata kubadilisha milango ikawa na muonekano mzuri, Hata pa kuweka Bendera tu wameshindwa kupaweka katika muonekano mzuri, kimekuwa Ni chama Cha kitapeli na Cha matukio, kinabaki Ni chama Cha kutafuna Ruzuku na kila aina ya Senti inayoingia katika mifuko yao

Ndio sababu hakina dira Wala muelekeo, hakieleweki kinasimamia Nini na Hakina wakukipa muelekeo kwa kuwa wanaopaswa kuonyesha njia nao pia walishapoteza Ramani na Dira hivyo wamebaki wanaburuzana tu kwa kila mtu kujifanya anaijuwa njia huku ikionekana wazi kinaelekea korongoni ambako hakitaweza kujinasua.

Hongera Sana kwa CCM na serikali ya CCM kwa namna ilivyohangaika tangia kutokea kwa ajari hii mpaka Leo hii, ninampongeza Sana Rais wangu mama Samia kwa maelekezo yake na naamini uchunguzi ukikamilika utawekwa hadharani ili kubaini chanzo Cha ajari hii

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Sidhani kama ccm ina shida, shida ipo kwa watu wanaoongoza ccm, ccm chini ya mwalimu Jk. Nyerere ilikuwa njema.
 
katika nchi hii kila kundi lina machaguo yake.

Ccm - wanataka kutawala milele

Chadema - wanataka uhuru wa kuongea tu

wananchi - uzalendo, kujaliwa na kula yao tu na maisha yawe rahisi
Sio siasa wala uchawa wewe una roho nyeusi yaani watu waliokufa kwa uzembe mkubwa.Wewe huna tofauti na jambazi anayeua na kunyanganya.
Mnasikitisha Sana chadema kulifanyia siasa Jambo Kama hili, mmekosa mishipa ya aibu kabisa,mmewasikitisha Sana watanzania waliobakia wanawashangaa kwa kukosa kwenu ubinadamu
 
Back
Top Bottom