Laiser James
Member
- Dec 5, 2013
- 77
- 8
Ni katika kikao cha kamati ya Wabunge wa Ccm,taarifa zinamnukuu Katibu mkuu wa Umoja wa Wanawake[UWT] wa chama hicho,Amina Makiragi akimtuhumu Lembeli na kamati yake kuwasilisha ripoti hiyo Bungeni badala ya kuipeleka katika kamati ya chama kwanza.
""Mheshimiwa Mwenyekiti""huyu Lembeli kweli ni mwenzetu huyu??
Mimi nadhani sio mwenzetu kabisa kabisaa! Huyu ni "Mpinzani". Angekuwa mwenzetu [Ccm] asingewasilisha ripoti hii Bungeni bila kupitisha kwetu kwenye chama kwanza,,,alisema Makirangi kwa sauti ya ukali!
Alikua mbunge wa Lushoto,Hennry Daffa Shekiffu ambae alikua mjumbe ktk kamati ya bunge iliyochunguza utekelezaji wa operesheni Tokomeza aliyeinuka na kumzima Makirangi.
Akiongea kwa sauti ya ukali,Shekiffu alisema, "Mimi ni mjumbe wa NEC" [Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM] kama ni chama hata mimi nina uchungu nacho
Kazi hii hatukutumwa na Ccm ili tuwaletee wao ripoti,"tulitumwa na Bunge na tumeifanya kwa maslahi ya Taifa".
Source; Gazeti la Mawio.
""Mheshimiwa Mwenyekiti""huyu Lembeli kweli ni mwenzetu huyu??
Mimi nadhani sio mwenzetu kabisa kabisaa! Huyu ni "Mpinzani". Angekuwa mwenzetu [Ccm] asingewasilisha ripoti hii Bungeni bila kupitisha kwetu kwenye chama kwanza,,,alisema Makirangi kwa sauti ya ukali!
Alikua mbunge wa Lushoto,Hennry Daffa Shekiffu ambae alikua mjumbe ktk kamati ya bunge iliyochunguza utekelezaji wa operesheni Tokomeza aliyeinuka na kumzima Makirangi.
Akiongea kwa sauti ya ukali,Shekiffu alisema, "Mimi ni mjumbe wa NEC" [Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM] kama ni chama hata mimi nina uchungu nacho
Kazi hii hatukutumwa na Ccm ili tuwaletee wao ripoti,"tulitumwa na Bunge na tumeifanya kwa maslahi ya Taifa".
Source; Gazeti la Mawio.