nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
KATIBU WA CCM TAWI LA NORTH LONDON NEEMA KUMBA AJITOSA UCHAGUZI UVCCM, TAIFA
KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia umoja wa vijana wa CCM
(UVCCM) na Msomi wa digrii ya uchumi, Neema Kumba
Neema akikabidhiwa fomu jana na Sophia Duma Makao Makuu ya UVCCM jijini Dar es Salaam .
--
DAR ES SALAAM, TANZANIA
(UVCCM) na Msomi wa digrii ya uchumi, Neema Kumba, amejitosa kwenye
uchaguzi mkuu wa umoja huo Taifa kwa kuchukua kugombea nafasi ya NEC na
uwakilishi UWT. Akizungumza na waandishi wa habari mapema jana, Agosti 3, jijini
Dar es Salaam, muda mfupi baada ya kukabidhiwa fomu hiyo na Mkuu wa Idara ya
Oganizesheni na siasa UVCCM, Taifa, Sophia Duma, Kumba ambae awali alikua Katibu
wa CCM, tawi la North London, Nchini Uingereza, alipokua akichukulia digrii yake
ya uchumi, alisema lengo ni kuakikisha mikakati thabiti inajengeka kwa kiwango
kikubwa miongoni mwa vjana na wanawake wote nchini.
"Kwa umakini wangu na maarifa niliyoyapata kwenye elimu na uwepo wangu
ndani ya chama, ndani na nje ya nchi, ni wakati sasa na mimi kuwasaidia
wenzangu hasa Vijana na wanawake ambao mara nyingi wamekua wakisahauriwa na huu
ndio wakati wa kuwainua" alisema Kumba. Mbali na kuchukua fomu hiyo ya NEC na
uwakilishi UWT, Taifa, pia tayari alisha chukua fomu ya kuwania nafasi ya
Mwenyekiti Uvccm, Wilaya Ilala. Mpaka sasa tayari wanachama mbalimbali wa UVCCM,
wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania uongozi ambapo mwisho wa kurudisha fomu
hizo, Agosti 6.
KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia umoja wa vijana wa CCM
(UVCCM) na Msomi wa digrii ya uchumi, Neema Kumba
Neema akikabidhiwa fomu jana na Sophia Duma Makao Makuu ya UVCCM jijini Dar es Salaam .
--
DAR ES SALAAM, TANZANIA
KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia umoja wa vijana wa CCM
(UVCCM) na Msomi wa digrii ya uchumi, Neema Kumba, amejitosa kwenye
uchaguzi mkuu wa umoja huo Taifa kwa kuchukua kugombea nafasi ya NEC na
uwakilishi UWT. Akizungumza na waandishi wa habari mapema jana, Agosti 3, jijini
Dar es Salaam, muda mfupi baada ya kukabidhiwa fomu hiyo na Mkuu wa Idara ya
Oganizesheni na siasa UVCCM, Taifa, Sophia Duma, Kumba ambae awali alikua Katibu
wa CCM, tawi la North London, Nchini Uingereza, alipokua akichukulia digrii yake
ya uchumi, alisema lengo ni kuakikisha mikakati thabiti inajengeka kwa kiwango
kikubwa miongoni mwa vjana na wanawake wote nchini.
"Kwa umakini wangu na maarifa niliyoyapata kwenye elimu na uwepo wangu
ndani ya chama, ndani na nje ya nchi, ni wakati sasa na mimi kuwasaidia
wenzangu hasa Vijana na wanawake ambao mara nyingi wamekua wakisahauriwa na huu
ndio wakati wa kuwainua" alisema Kumba. Mbali na kuchukua fomu hiyo ya NEC na
uwakilishi UWT, Taifa, pia tayari alisha chukua fomu ya kuwania nafasi ya
Mwenyekiti Uvccm, Wilaya Ilala. Mpaka sasa tayari wanachama mbalimbali wa UVCCM,
wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania uongozi ambapo mwisho wa kurudisha fomu
hizo, Agosti 6.