Katibu wa Bunge huteuliwa na Rais na kula kiapo cha utii kwa Rais, sio Spika. Hatakubali ratiba ya kumhujumu Rais iingie Bungeni

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,009
20,684
Katibu wa Bunge huteuliwa na Rais, na ndiye humwapisha, hatakubali ratiba iingie Bungeni ya kumhujumu SSH, atatoa taarifa mapema ili mapambano yaanze.

Askari wa Bunge wanatoka kwenye majeshi ambayo Amiri wake ni SSH, wanamtii, hii ni pamoja na maafisa usalama wa pale Bungeni, Wana utii moja kwa moja kwa Rais.

Mnaowaza kura ya kutokuwa na imani endeleeni kuota, mtakula mnachoota. Hata bajeti ya kuitisha kikao cha Bunge, mpaka SSH aisaini kuruhusu pesa itokeee.

Walinzi katika jumba la spika, makazi yake, wanatoka kwa serikali ya SSH, wanaweza kumzuia Spika asitoke getini, au wale walioko Bungeni wakamzuia asiingie, yeye na wenzake
 
Basi sawa
JamiiForums-599864948.jpg
 
Hivi kuna wajinga wanaamini kuwa Ndugai anafika hata mwezi February akiwa Speaker?

Kweli elimu ya Katiba inahitajika sana Tanzania!

Samia anamuondoa Ndugai kupitia Chama tu hana hata haja ya kwenda Bungeni.

Kwa Katiba yetu spika Kama ni mbunge akikosa ubunge anakosa na u spika. Ni very simple kikao kimoja tu cha Ccm kamati kuu au halmashauri kuu kinamaliza kazi
 
Hivi kuna wajinga wanaamini kuwa Ndugai anafika hata mwezi February akiwa Speaker?

Kweli elimu ya Katiba inahitajika sana Tanzania!

Samia anamuondoa Ndugai kupitia Chama tu hana hata haja ya kwenda Bungeni.

Kwa Katiba yetu spika Kama ni mbunge akikosa ubunge anakosa na u spika. Ni very simple kikao kimoja tu cha Ccm kamati kuu au halmashauri kuu kinamaliza kazi
Yes
 
Hivi kuna wajinga wanaamini kuwa Ndugai anafika hata mwezi February akiwa Speaker?


Kweli elimu ya Katiba inahitajika sana Tanzania!
Kweli Kabisa....
Samia anamuondoa Ndugai kupitia Chama tu hana hata haja ya kwenda Bungeni.

Kwa Katiba yetu spika Kama ni mbunge akikosa ubunge anakosa na u spika. Ni very simple kikao kimoja tu cha Ccm kamati kuu au halmashauri kuu kinamaliza kazi
Ni nani kasema Spika lazima awe Mbunge ?
 
Kwahio sio lazima awe Mbunge ila kama alikuwa Mbunge akiondolewa Ubunge atakosa Uspika....

Vipi tuki-refer kesi ya Zitto na Ubunge wa Mahakama (kwamba hata Chama kikikuvua uanachama bado unapewa leeway ya kuendesha kesi na kugombania Ubunge wako....., Huoni kwamba Chama huenda kisiwe na final say ?
Too academic (swali la kujibia mtihani darasani, mtaani halina uhalisia)
 
Kwa iyo Kuna Mahakama itaruhusu Ndugai aendelee kuwa mbunge akivuliwa uanachama na kikao chini ya Rais Samia? Hapa hapa Tanzania?
Kwahio sio lazima awe Mbunge ila kama alikuwa Mbunge akiondolewa Ubunge atakosa Uspika....

Vipi tuki-refer kesi ya Zitto na Ubunge wa Mahakama (kwamba hata Chama kikikuvua uanachama bado unapewa leeway ya kuendesha kesi na kugombania Ubunge wako....., Huoni kwamba Chama huenda kisiwe na final say ?
 
Kwa iyo Kuna Mahakama itaruhusu Ndugai aendelee kuwa mbunge akivuliwa uanachama na kikao chini ya Rais Samia? Hapa hapa Tanzania?
Inategemea hio Kesi itapigwa danadana na yeye kuomba muda wa hapa na pale kuleta utetezi... (In short sintofahamu na usumbufu utakaotokea) hakuna Rais amabaye atakuwa tayari kupigana hivi vita (ukizingatia kuna vita vingine on other fronts)

Cha maana wenye busara watawakalisha kitako na hili litakuwa swept under the carpet
 
Nafikiri wewe sio mtanzania au ni mgeni Tanzania!

Unaisema Tanzania gani mahakama ipige danadana kesi iliyo na maslahi kwa Rais?

Soma katiba ya Tanzania Rais ni ni nani alafu urudi hapa
Inategemea hio Kesi itapigwa danadana na yeye kuomba muda wa hapa na pale kuleta utetezi... (In short sintofahamu na usumbufu utakaotokea) hakuna Rais amabaye atakuwa tayari kupigana hivi vita (ukizingatia kuna vita vingine on other fronts)

Cha maana wenye busara watawakalisha kitako na hili litakuwa swept under the carpet
 
Back
Top Bottom