barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Adui mwingine ni kwamba hawajui kama wana tatizo hilo la fikra zao!Adui wa vyama vya upinzani Tanzania yuko ndani ya fikra za wapinzani wenyewe. Wanafikiri katika utaratibu usio sahihi.
Adui mwingine ni kwamba hawajui kama wana tatizo hilo la fikra zao!Adui wa vyama vya upinzani Tanzania yuko ndani ya fikra za wapinzani wenyewe. Wanafikiri katika utaratibu usio sahihi.
Witi Cenripetal Force F =mv^2/r ha ha haKitila alikuwa CCM akaja Chadema akaja ACT sasa huenda akarudi CCM - Circular motion!!
Anataka aingize kibaraka wakeHuyu jamaa nahisi kamchoma waziri wa zamani wa maji!
Hawa jamaaa inteligensia yao ni hatari wakimnyooshea mtu kidole kwamba ni kirusi ujue kuna ukweliMwigulu Nchemba mwenye jimbo lake anakuja,
Faru J lazima akutwishe zigo na hiyo wizara ya wasiojulikana
Ukiboronga hapo sababu tosha ya kukata jina lako
M4C kitengo cha ujasusi wako vizuri rangi halisi ya prof imeonekana
Nitajie angalau Sera moja tu ya Ccm ambayo ni mbaya halafu uniambie Sera ya chadema inasemaje kama Sera mbadala. Tanzania hatuna tatizo la Sera, tuna tatizo la MTU na MTU.
sawa tunamtakia kila la heri huko kwenye chama cha manunuzi
..kwisha habari yakeMwafrika mpe cheo tu
Mchumia tumbo tu huyosawa tunamtakia kila la heri huko kwenye chama cha manunuzi
Anachanganyikiwa kabisa... ndio maana wazee walitukataza kufunga ndoa na baadhi ya koo kama si makabila.Mwafrika mpe cheo tu
Anateuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM...
Ni kweli kabisa .Huyu jamaa nahisi kamchoma waziri wa zamani wa maji!
Ni vyema tukamkaribisha kamanda Zitto arejee chamani ili agombee urais 2020. Kwa kweli Zitto ndiye aliyenifanya nikaipenda Chadema.Zitto karibu chadema..2020 tutakupokea na utatejea kama zaman..