daud magigo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 979
- 423
Tunasubili ya Mama Mgwila naye tunaomba tuisome hapa.
Na katiba nayo inakuwajeee??Kamanda vema uanachama ni hiari ila ilani ya CCM Ndio Msingi Mkuu na mstakabari wa kila alie na Nafasi ama ya uwakilishi au kuteuliwa CCM Ndio iko Ikulu
Mamluki wale kitambooKoh Koh Koh Koh Koh, Kitila kaka yangu amekula maharage ya wapi jamani
Huyu yupo kwenye system si burePolisi(CCP) Moshi kwa muda wa miezi miwili lakini alikatisha mafunzo baada ya kuchaguliwa kujiunga Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM)
ACT- wanapewa vyeo, CUF mwenyekiti kanunuliwa, CDM madiwani kujiuzuru na Tundu dah. Upinzani unapotezwa.Naona kama Zitto naye anakaribia kwenda ccm.
wanachama wake wa muhimu wanapukutika.