Yaani JK hakudiriki kabisa hata kupendekeza jina la prof. Mwandosya? Inaelekea ugomvi wao haujaisha.
Wenye data watuambie, Nilisoma hapa forum kwamba JK hajafanya ziara mkoani Mbeya kwa nini? Sasa katika mazingara kama hayo unategemea ampendekeza Mwandosya. You must be kidding.
Yaani JK hakudiriki kabisa hata kupendekeza jina la prof. Mwandosya? Inaelekea ugomvi wao haujaisha.
FD, as a matter of fact sikufikiria hilo ila it makes more sense than kumuacha tu. Mzee Makamba ana kipaji cha kuzungumza na ushawishi na hasa kuweza kujibu hoja kwa kutozijibu hoja. Niliangalia Mwanri anavyozungumza kuhusu masuala mbalimbali, kwa kweli si mshawishi bali ni mtu ambaye anafaa kutoa maagizo na kufuatilia utendaji. Mzee Makamba kwa upande mwingine ni mtu ambaye anaweza kukiuza CCM kwa ucheshi wake, na kwa kutumia 'wit' na kwa vile anaijua vizuri CCM nadhani si mtu wa kumpoteza kabisa.. Hivyo ila hilo la Katibu Muenezi nadhani itakuwa demotion kwake. Ila kwa kada kama yeye nadhani atapiga saluti na kuwa tayari kukitumikia chama.
Je Mzee Malecela asipoutaka/pewa Umakamu tena, anaweza kuwa Katibu Mkuu?
Asiondoke hana kosa mbona ccm wote ni hivyo hivyo./QUOTE]
Bubu tuhuma hizi ni za kweli lakini?
Ina maana tenga zima la samaki wa sisi M hakuna hata wachache wasio na uvundo?
Chiligati, Mkuchika, Makala, Mh'd Dewji
Tuwaangalie hawa, John Chiligat, George Mkuchika, Amos Makala na Mohamed Dewji, wanaweza kuingia katika sekretarieti moya ya CCM
.Watendaji wote waliokuwemo kwenye Sekretarieti iliyopita wameondolewa isipokuwa Makamba anayeendelea kuwa Katibu Mkuu. Waliondolewa ni Naibu Katibu Mkuu, Jaka Mwambi, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Aggrey Mwanri na Mweka Hazina, Rostam Aziz
Unamsema Mwandosya, Je rafiki yake mkuu Lowassa. au yeye anaingia moja kwa moja?
.
Hii inachanganya, inakuwaje tena Rostam anatajwa yumo tena?
sijaelewa kuhusu maelezo hayo hapo juu kuhusiana na Kamati kuu maanake tukisema hivyo hata Mwandosya na Kingunge bado wanaendelea na nafasi zao za Uwaziri au?Lowassa anaendelea kwa kutumia nafasi ya PM