Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,733
- 41,559
Deo mwanyika anataka ubunge na chama gani huko njombe kusini?
Kwa jinsi alivyokuwa corrupt hawezi kuomba ubunge kupitia chama kingine zaidi ya CCM. Deo ndiye mtu pekee ambaye wakati wote wa chaguzi amekuwa kiunganishi kati ya CCM na Barrick katika kupata pesa za kufanyia kampeni kwa CCM. Sina uhakika na chaguzi kabla ya 2005 lakini chaguzi nyingine zote, ikiwa pamoja na wa jimbo la Arumeru Mashariki, Barrick waliichangia CCM.