kama busara haitatumika, kesho katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini huenda akapoteza kazi, hii itatokea baada ya bajeti ya wizara kusomwa bungeni kesho ijumaa. kuna jitihada zinafanyika kuwaomba wabunge hasa ole sendekea na wajumbe wengine wa kamati ya nishati wafunike kombe ili bajeti ipite ila wamekuwa ngangari wakisisitiza kuwa bwana maswi alikiuka sheria ya manunuzi hivyo lazima awajibike katika sakata la mafuta ya IPTL.
kwa mtizamo wangu, WIZARA YA NISHATI ni ngumu sana kuiendesha, ni pango na mnyororo wa wizi na ufisadi mkubwa, kuna watu wamefaidika, wanafaidika na kuna wanaotaka kufaidika na matatizo ya umeme hali ni tete ndugu zangu, na kwa taarifa yangu ya kiintelejensia ni kuwa immidiately baada ya bunge, mgao mkubwa wa umeme unakuja mtajuta wabongo , naionea huruma Nchi hiii.
kwa mtizamo wangu, WIZARA YA NISHATI ni ngumu sana kuiendesha, ni pango na mnyororo wa wizi na ufisadi mkubwa, kuna watu wamefaidika, wanafaidika na kuna wanaotaka kufaidika na matatizo ya umeme hali ni tete ndugu zangu, na kwa taarifa yangu ya kiintelejensia ni kuwa immidiately baada ya bunge, mgao mkubwa wa umeme unakuja mtajuta wabongo , naionea huruma Nchi hiii.