Katibu CCM afichua Siri ya Mnyika kumzushia Mama Kikwete

Habarindiyohiyo

JF-Expert Member
Aug 11, 2008
263
13
Katibu Msaidizi wa Idara ya Siasa na Uhusiano ya CCM Charles Charles amemuumbua Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutokana na madai yake ya uongo bungeni dhidi ya mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

Katibu huyo amefichua siri kuwa Mnyika alitoa madai ya uongo ya WAMA kutumiwa kwenye kampeni ili kuficha ukweli NGO nyingi zimekuwa zikitumiwa na CHADEMA kuishambulia serikali ya CCM na kuwakashifu viongozi wake.

Amefichua siri nzito kuwa hata kauli za kutishia kuitisha maandamano nchi nzima zinazotolewa na NGO hizo zinatokana na CHADEMA.

Katibu huyo wa CCM amempongeza Sophia Simba kwa majibu yake na kuwaomba wananchi wapuuze uzushi unaosambazwa dhidi ya mke wa Rais.

Chanzo: Gazeti Kongwe la Chama
 
Katibu Msaidizi wa Idara ya Siasa na Uhusiano ya CCM Charles Charles amemuumbua Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutokana na madai yake ya uongo bungeni dhidi ya mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

Katibu huyo amefichua siri kuwa Mnyika alitoa madai ya uongo ya WAMA kutumiwa kwenye kampeni ili kuficha ukweli NGO nyingi zimekuwa zikitumiwa na CHADEMA kuishambulia serikali ya CCM na kuwakashifu viongozi wake.

Amefichua siri nzito kuwa hata kauli za kutishia kuitisha maandamano nchi nzima zinazotolewa na NGO hizo zinatokana na CHADEMA.

Katibu huyo wa CCM amempongeza Sophia Simba kwa majibu yake na kuwaomba wananchi wapuuze uzushi unaosambazwa dhidi ya mke wa Rais.

Chanzo: Gazeti Kongwe la Chama

Najua wewe ndiyo Charles Charles.Nakuhurumia sana kwani upeo wako ni sawa na Lusinde
 
Mnyika ana ushahidi wa gazeti ambapo wakati wa kampeni ilitolewa ahadi kuwa JK akichaguliwa WAMA itasomesha watoto 5 bure.
 
DUhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!samahani kwa kujaza saver....
 
Wewe na gazeti lako UHARO jifunzeni ustaarabu wa kuandika habari za ukweli. Siri ipi wakati ilizungumziwe kwenye Bunge Live?
 
Katibu Msaidizi wa Idara ya Siasa na Uhusiano ya CCM Charles Charles amemuumbua Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutokana na madai yake ya uongo bungeni dhidi ya mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

Katibu huyo amefichua siri kuwa Mnyika alitoa madai ya uongo ya WAMA kutumiwa kwenye kampeni ili kuficha ukweli NGO nyingi zimekuwa zikitumiwa na CHADEMA kuishambulia serikali ya CCM na kuwakashifu viongozi wake.

Amefichua siri nzito kuwa hata kauli za kutishia kuitisha maandamano nchi nzima zinazotolewa na NGO hizo zinatokana na CHADEMA.

Katibu huyo wa CCM amempongeza Sophia Simba kwa majibu yake na kuwaomba wananchi wapuuze uzushi unaosambazwa dhidi ya mke wa Rais.

Chanzo: Gazeti Kongwe la Chama

Tangu lini magamba wakakubali ukweli? Na gazeti hilo halina jina?
 
Katibu Msaidizi wa Idara ya Siasa na Uhusiano ya CCM Charles Charles amemuumbua Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutokana na madai yake ya uongo bungeni dhidi ya mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

Katibu huyo amefichua siri kuwa Mnyika alitoa madai ya uongo ya WAMA kutumiwa kwenye kampeni ili kuficha ukweli NGO nyingi zimekuwa zikitumiwa na CHADEMA kuishambulia serikali ya CCM na kuwakashifu viongozi wake.

Amefichua siri nzito kuwa hata kauli za kutishia kuitisha maandamano nchi nzima zinazotolewa na NGO hizo zinatokana na CHADEMA.

Katibu huyo wa CCM amempongeza Sophia Simba kwa majibu yake na kuwaomba wananchi wapuuze uzushi unaosambazwa dhidi ya mke wa Rais.

Chanzo: Gazeti Kongwe la Chama

Wamekutuma? Huna tofauti na Wasira na Lusinde!!!? Hakuna cha NGO hapa, sasa kuna watanzania ambao mwamko wa kisiasa wanao na wanajua kibaya na kizuri. Hawadanganyiki tena!!!
 
Katibu Msaidizi wa Idara ya Siasa na Uhusiano ya CCM Charles Charles amemuumbua Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutokana na madai yake ya uongo bungeni dhidi ya mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

Katibu huyo amefichua siri kuwa Mnyika alitoa madai ya uongo ya WAMA kutumiwa kwenye kampeni ili kuficha ukweli NGO nyingi zimekuwa zikitumiwa na CHADEMA kuishambulia serikali ya CCM na kuwakashifu viongozi wake.

Amefichua siri nzito kuwa hata kauli za kutishia kuitisha maandamano nchi nzima zinazotolewa na NGO hizo zinatokana na CHADEMA.

Katibu huyo wa CCM amempongeza Sophia Simba kwa majibu yake na kuwaomba wananchi wapuuze uzushi unaosambazwa dhidi ya mke wa Rais.

Chanzo: Gazeti Kongwe la Chama

kaongea nini sasa!?
magamba ni magamba tuu kweli chama changu ccm kinatakiwa kife tuu,
naye anaona anaandika utetezi kumba hamna kitu!
 
hahahahahahahahahshahhahaha! gazeti la Uhuru,sijasoma gaziti hilo miaka mingi kweli aisee kumbe lipo duh!
 
Sasa hiyo siri ya huyo kila kilaza juu ya Mnyika iko wapi?! Kama sio upuuzi tu wa kulopoka na kutaka cheap popularity kupitia watu makini kama Mnyika, Tatizo la magamba hamna Mungu ndio maana hata midomo yenu haina speeed governor.
 
Katibu Msaidizi wa Idara ya Siasa na Uhusiano ya CCM Charles Charles amemuumbua Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutokana na madai yake ya uongo bungeni dhidi ya mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

Katibu huyo amefichua siri kuwa Mnyika alitoa madai ya uongo ya WAMA kutumiwa kwenye kampeni ili kuficha ukweli NGO nyingi zimekuwa zikitumiwa na CHADEMA kuishambulia serikali ya CCM na kuwakashifu viongozi wake.

Amefichua siri nzito kuwa hata kauli za kutishia kuitisha maandamano nchi nzima zinazotolewa na NGO hizo zinatokana na CHADEMA.

Katibu huyo wa CCM amempongeza Sophia Simba kwa majibu yake na kuwaomba wananchi wapuuze uzushi unaosambazwa dhidi ya mke wa Rais.

Chanzo: Gazeti Kongwe la Chama
For real???? Nani asiiyejua WAMA ni ufisadi mtupu...NGO za kujinufaisha kifamilia. Mnyika hakusema uongo ila huyo sijui katibu ndiye anayesema uongo.
 
siku zote magamba ni wezi
wanapenda kukanusha yanayowaumbua na kuwahadaa wananchi ili wajisafishe
sawa na ikulu wanavopenda kukanusha haraka habari za ukweli
lakini mambo ya msingi hayatolewi ufafanuzi
ukweli uko pale pale WAMA ilitumika ktk kampeni na mama jk alitumia rasilimali za nchi kumkampenia mr wake
tuajua haya yote sisi sio wajinga tumeelimika vema kwa hivo mda wa kudanganya umekwisha
subirini tsunami iwakaushe.tukishindwa sisi Mungu atawezesha kama alivomtoa rais korofi wa Malawi
 
Katibu Msaidizi wa Idara ya Siasa na Uhusiano ya CCM Charles Charles amemuumbua Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutokana na madai yake ya uongo bungeni dhidi ya mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

Katibu huyo amefichua siri kuwa Mnyika alitoa madai ya uongo ya WAMA kutumiwa kwenye kampeni ili kuficha ukweli NGO nyingi zimekuwa zikitumiwa na CHADEMA kuishambulia serikali ya CCM na kuwakashifu viongozi wake.

Amefichua siri nzito kuwa hata kauli za kutishia kuitisha maandamano nchi nzima zinazotolewa na NGO hizo zinatokana na CHADEMA.

Katibu huyo wa CCM amempongeza Sophia Simba kwa majibu yake na kuwaomba wananchi wapuuze uzushi unaosambazwa dhidi ya mke wa Rais.

Chanzo: Gazeti Kongwe la Chama
Njaa kiboko. Inakufanya unapoteza akili na kuongea maneno ya ajabu!
 
Bwana charles charles mbona umeumbuka mwenyewe na gazeti lako la chama chako siri gani uliyofichua kama sio uzushi kama vipi lala.
 
Ni mtanzania gani anaweza kusahau kwamba kampeni za urais wa ccm zilisimamiwa na familia yake kwa kutumia fedha za UMA.
 
RITA yakumbwa na kigugumizi kuzungumzia WAMA
Thursday, 23 September 2010 21:47
0digg

Abdallah Bakari na Beatrice John

WAKALA wa Ufilisi na Udhamini (Rita) imepatwa na kigugumizi kuzungumzia madai yaliyoibuka hivi karibuni dhidi ya mwenyekiti wa taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), mama Salma Kikwete kutumia taasisi hiyo kufanya kampeni dhidi ya mgombea wa urais wa CCM, Jakaya Kikwete

Akizungumza na Mwananchi ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Rita, Philip Saliboko amesema kwa sasa ni mapema kujua iwapo mwenyekiti huyo yupo sahihi au anavunja sheria.

“Nahitaji muda kufuatilia katika nyaraka za WAMA kuona kama malengo ya usajili wake, yanatoa fursa ya kushiriki katika kampeni za kisiasa au laa…. Hata hivyo tutahitaji kujiridhisha na madai hayo pasipo na shaka, hadi Alhamisi wiki ijayo nitakuwa tayari kusema juu ya madai hayo,” alisema Saliboko

Salma Kikwete ni mwenyekiti wa WAMA, ambaye amekuwa akishiriki katika kumpigia kampeni za urais mumewe (Jakaya Kikwete) na kuzua mjadala unaohoji kama anaruhusiwa kutumia rasilimali za serikali na za WAMA kumfanyia kampeni mume wake.

Saliboko alisema sheria ya usajili wa ufilisi na udhamini kifungu kidogo namba 318 ya mwaka 2002 inatoa mamlaka kwa Rita kuzifuta taasisi zinazofanya shughuli zake kinyume na malengo ya kuanzishwa kwake.

“Si asasi zote, mashirika au taasisi zinazokatazwa kujiingiza katika siasa, zipo zilizoanzishwa kwa misingi ya kisiasa, hizo hatuna tatizo nazo ila zile ambazo zinatumia fursa zilizopo kujiingiza katika siasa tutazishughulikia,” alisema ofisa huyo.

Alionya kuwa mashirika, asasi za kiraia na taasisi zisizo za kiserikali hazina budi kujiweka kando na siasa iwapo malengo ya kuanzishwa kwake hayashabiani ya siasa, zitajiingiza kwenye matatizo yanayoweza kusababisha zitafutiwa usajili wake.

Alisema kwa mujibu wa sheria taasisi zote zinapaswa kufanya kazi kwa kuzingatia malengo ya usajili wake na si kinyumecho na kwamba kujiingiza katika masula nje ya yaliyobainishwa katika usajili ni kuvunja sheria.

“Iwapo tutajiridhisha kuwa asasi, shirika au taasisi zisizo za kiserikali zinajihusisha katika masuala ya kisiasa, ikiwemo kukipigia kampeni chama au mgombea fulani kinyume na malengo ya kuanzishwa kwake tutazifuta kwa mujibu wa sheria,” alisema Saliboko na kuongeza;

Hadi sasa hakuna taarifa rasmi za kuwepo kwa taasisi zinazojihusisha na kampeni kinyume cha sheria, ila tunaratibu hilo na pale tutakapothibitisha kuwapo kwa vitendo hivyo hatutasita kuchukua hatua,” alisema Saliboko.
 
Back
Top Bottom