Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 13
Katibu Msaidizi wa Idara ya Siasa na Uhusiano ya CCM Charles Charles amemuumbua Mbunge wa Ubungo John Mnyika kutokana na madai yake ya uongo bungeni dhidi ya mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Katibu huyo amefichua siri kuwa Mnyika alitoa madai ya uongo ya WAMA kutumiwa kwenye kampeni ili kuficha ukweli NGO nyingi zimekuwa zikitumiwa na CHADEMA kuishambulia serikali ya CCM na kuwakashifu viongozi wake.
Amefichua siri nzito kuwa hata kauli za kutishia kuitisha maandamano nchi nzima zinazotolewa na NGO hizo zinatokana na CHADEMA.
Katibu huyo wa CCM amempongeza Sophia Simba kwa majibu yake na kuwaomba wananchi wapuuze uzushi unaosambazwa dhidi ya mke wa Rais.
Chanzo: Gazeti Kongwe la Chama
Katibu huyo amefichua siri kuwa Mnyika alitoa madai ya uongo ya WAMA kutumiwa kwenye kampeni ili kuficha ukweli NGO nyingi zimekuwa zikitumiwa na CHADEMA kuishambulia serikali ya CCM na kuwakashifu viongozi wake.
Amefichua siri nzito kuwa hata kauli za kutishia kuitisha maandamano nchi nzima zinazotolewa na NGO hizo zinatokana na CHADEMA.
Katibu huyo wa CCM amempongeza Sophia Simba kwa majibu yake na kuwaomba wananchi wapuuze uzushi unaosambazwa dhidi ya mke wa Rais.
Chanzo: Gazeti Kongwe la Chama