Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,181
La hasha. Ukitaka hesabu basi kimahesabu ukisema let zero be hakuna Muungano basi 1 ina maanisha kuna Muungano, period. Kabla ya kutuambia tuchague aina ya Muungano, ni lazima tuwe kwanza tumekubaliana tunataka huo Muungano?
Sasa hiyo Awadhi mbona hamshitui Warioba