Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

Unapenda Muundo Gani wa Muungano


  • Total voters
    210

Fredrick Sanga

JF-Expert Member
Jan 27, 2011
3,153
697
Ndugu waTanganyika wenzangu, tumeshapigwa changa la macho. Hivi mnajua tume ya katiba iliyoundwa imeshaondoa uwezekano wa Serikali ya Tanganyika Kurudi.

Kwa kuwa hiyo tume ya katiba, haina mamlaka ya kutengeneza rasimu ya katiba ya Tanganyika, na wanafikiri watu wanakubali serikali mbili.

Kwa sababu hiyo tayari tume hiyo, kwetu sisi watanganyika, imefanya kitu kinaitwa pridjudice (yaani uamuzi kabla ya kupata maoni kuhusu aina ya muungano), na hi si haki, si haki kabisa.

Je kama ilivyo sasa, katika dodoso zangu, kwamba wananchi wengi wakapenda Mungano wa dola tatu. Nani ataandika rasimu ya katiba ya Dola la Tanganyika?

Nani atapitia katiba ya Dola la Zanzibar kurekebisha mswala ya muungano. Pamoja na Mhe Jaji Warioba kuruhusu, mjadala kwa uwazi, kuna haja ya kurejea Mswada wa kuunda tume ya katiba na kuweka hatua mbalimbali za utendaji.

Mapendekezo:

1. Aina ya muungano

a. Mjadala
b. Kura ya maoni
c. Ma/Bunge la/ya katiba (Subject to discussion)
2. Rasimu ya katiba

a. Mjadala
b. Rasimu ya katiba
c. Ma/Bunge la/ya katiba
d. Kura ya/za maoni (katika vipengele mbalimbali)
e. Uchaguzi
f. Urekebishaji wa sera kuendana na katiba

Sasa hakuna haja ya kuelewana vibaya hapa. Suala ni kuwa watu tunaokwenda kitaalam. Hii ni kuchokonoa wa JF na Tume ya katiba kujitathmini.

Tusije tukatumia fedha na muda mwingi, halafu mwisho tukaambulia patupu. Ikitokea hivyo itakuwa aibu kwa Raisi, Serikali, Bunge hata sisi wananchi hatuta kuwa ubavu wa kuzungumza hata na wakenya tu. Katika hili tuachane na unafiki wa kuunga hoja asilimia mia moja halafu kuikosoa hoja hiyohiyo kama vile mtu ana nafsi mbili.


Tume inajibatilisha kwa hizi predjudice
.


Nawakilisha, mkiniangusha, shauri yenu. Kabla ya kupiga kura hakikisha umelog in.


Kumbe Zito naye ana mawazo mbadala, soma hapa
http://www.mwanabidii.com/showthrea...ndo-wa-Muungano-Serikali-Tatu-Moja-Mbili-Zote

I declare my interest: Napenda serikali tatu ili tuweze kupanua muungano na nchi nyingine.
 
Najua kwamba pamoja na kwamba napenda serikali moja, wazenji hawatakubali, basi iwe serikali tatu. Na suala hili lirudishwe bungeni ili hadidu za rejea za tume zirekebishwe. Hii itawezasha upatikanaji wa rasimu ya katiba ya Tanganyika pia.
 
Pigeni kura nataka nipate kitu cha kumridhisha warioba. na inawezekana nikawa sio sahihi, nitakuwa nimejifunza. Nape piga kura, Myika, Zitto, JK NK. Hii ni kura ya siri.
 
Pigeni kura nataka nipate kitu cha kumridhisha warioba. na inawezekana nikawa sio sahihi, nitakuwa nimejifunza. Nape piga kura, Myika, Zitto, JK NK. Hii ni kura ya siri.


Naona kuna mdau mmoja tu. Labda hawa jamaa ni waoga sana, au hawaelewi uzi. Ngoja tuone.
 
Ni kweli kwamba "Nyinyiemu" wametumia muda mwingi sana kushughulikia kero ndogo ndogo kiasi cha kuwabore watu lakini bado wanaotaka uvunjike kwa kutoa kauli kali na vitisho ni watu ambao hata Mapinduzi Matukufu ya 1964 ni kero kwao. Ila kama kuna majority nyuma yao kwa nini usivunjwe? It is only fair uvunjike kwa kuwa majority wanataka hata kama ni grave mistake kuuvunja.
Ushauri wangu ni vema tupige kura ya maoni pande zote za Muungano. Wasioutaka kama Uamsho na Mimi binafsi (japo si mwanauamsho) pamoja na wengineo tufanye kampeni kuwashawishi watu waukatae na wale wanaoupenda sana wapewe nafasi ya kushawishi watu waseme wanautaka kisha tutekeleze matokeo bila kinyongo. Kama Muungano utashinda dhoruba hii ni wazi lazima tuulinde bila kujali chochote na kama kuna mtu atafanya chokochoko dhidi yake lazima tumbane kiasi cha kutosha.
Nilijaribu kuelezea mawazo yangu katika thread hii: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-zanzibar-wanachokitaka-tuishi-kwa-amani.html
 
Ni kweli kwamba "Nyinyiemu" wametumia muda mwingi sana kushughulikia kero ndogo ndogo kiasi cha kuwabore watu lakini bado wanaotaka uvunjike kwa kutoa kauli kali na vitisho ni watu ambao hata Mapinduzi Matukufu ya 1964 ni kero kwao. Ila kama kuna majority nyuma yao kwa nini usivunjwe? It is only fair uvunjike kwa kuwa majority wanataka hata kama ni grave mistake kuuvunja.
Ushauri wangu ni vema tupige kura ya maoni pande zote za Muungano. Wasioutaka kama Uamsho na Mimi binafsi (japo si mwanauamsho) pamoja na wengineo tufanye kampeni kuwashawishi watu waukatae na wale wanaoupenda sana wapewe nafasi ya kushawishi watu waseme wanautaka kisha tutekeleze matokeo bila kinyongo. Kama Muungano utashinda dhoruba hii ni wazi lazima tuulinde bila kujali chochote na kama kuna mtu atafanya chokochoko dhidi yake lazima tumbane kiasi cha kutosha.
Nilijaribu kuelezea mawazo yangu katika thread hii: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-zanzibar-wanachokitaka-tuishi-kwa-amani.html
Umeshapiga kura. Mpaka sasa wanotaka serikali tatu wanaongoza. Piga kampeni
 
mkuu natamani uongeze na poll inayoonyesha watanganyika wanaokataa muungano na wazenji wanaokataa tulinganishe idadi.
 
Kwanini tuntaka kuvunja muungano? Naona tafanye serkali tatu. Tutatatua kero zote na kuvuta nchi nyingi kuingia katika muungano.
 
Yaani bado wapo tuu? Aaargh, wataondoka lini hawa wapemba, mie kuna duka nalitamani pale kariakoo
 
Nimeshindwa ku vote kabisa. Aidha tiss wamechakachua, mods work on it

TISS walinzi wangu mimi na wewe, sana usiwe na wasiwasi. Yaani we vote bila wasiwasi. usiwasingizie. Ila Mod angestick hii, naona kama ni suala la maana, ili tuelewe anagalau humu JF watu wanasemaje. Mimi napenda serikali tatu
 
Back
Top Bottom