William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- People unajua NCCR wanatukumbusha umuhimu wa kuondoa utitiri wa Vyama vingi hewa vya Upinzani tulivyonavyo. Wakati umefika ni muhimu through katiba mpya tukavunja vyama vyote vya Upinzani na kubaki na Vitatu tu, CCM, Chadema na Independent Party.
- I mean we cant afford as a Nation kuendelea na this foolishness of mediocre represantation ambapo Wenyeviti wa Vyama vetu vya siasa wanakuwa Semi-Gods through our Ruzuku but no record of anything worthy to us the people of what they are doing with our money zaidi ya kugombana na kufukuzana ambayo ni furaha ya CCM.
- People we need to take our Nation back, from the Mbatias and the likes na ni muhimu tukawa na Independent Party kuondoa ufalme wa Wenyeviti wa Vyama vikuu Viwili tu vya siasa under new katiba.
William @..NYC,USA: Mutuz Le Baharia Big Show!
- I mean we cant afford as a Nation kuendelea na this foolishness of mediocre represantation ambapo Wenyeviti wa Vyama vetu vya siasa wanakuwa Semi-Gods through our Ruzuku but no record of anything worthy to us the people of what they are doing with our money zaidi ya kugombana na kufukuzana ambayo ni furaha ya CCM.
- People we need to take our Nation back, from the Mbatias and the likes na ni muhimu tukawa na Independent Party kuondoa ufalme wa Wenyeviti wa Vyama vikuu Viwili tu vya siasa under new katiba.
William @..NYC,USA: Mutuz Le Baharia Big Show!