Katiba Mpya: NCCR a perfect case for change!

Understandable, lakini ni muhimu tukawa na alternative ya Independent Party ili the Kafulilas wawe na safe heaven.

I got your point......fikra huru ndani ya vyama vya siasa kwa system tuliyonayo zitazidi kukandamizwa.tena ni fedheha kubwa kwa fikra huru ndani ya vyama vya siasa kukandamizwa na hasa inapotokea kwa chama cha upinzani kinacholalamikia CCM kuminya uhuru wa mawazo na wigo wa kidemokrasia.Baadhi ya vyama kama hivi vinatoa taswira halisi kwamba vingepata ridhaa au kama vitapta ridhaa basi demokrasia na mazingira ya siasa na uanaharakati utakuwa katika wakati mgumu

Enzi chama kimoja case kama hizi angalao zingeleweka lakini kwa sasa napata shida kidogo.Ndani ya vyama vya siasa bado kuna umuhimu mkubwa wa kutoa elimu ya uraia hata kwa baadhi ya viongozi wake (no offense)

 
Una maanisha nini unaposema Independent party mkuu? umeniacha.
 
nimeumia sana niliposoma maoni ya watu,pili niliumia sana pale niliposikia kuwa kafulila alifukuzwa uanachama,ndugu zangu utaifa wetu uko wapi,uzalendo wetu uko wapi, nasema hivi kwa kuwa naumia sana kwa kuona tunashabikia vitu vingivisivyo na maana,naumia zaidi baada ya kuona tunaowachagua wanatusahau, huwa tunapoteza fedha nyingi kwa ajili ya kufanya chaguzi ambazo kwangu mimi naona hazina tija,mathalani fedha ambazo zilitumika katika uchaguzi wa igunga zingelitosha kabisa kutumika kujenga hospitali nzuri na ya mfano ila ukiuliza watasema sio kipaumbele ila kipaumbele ni uchaguzi,
watanzania tuwe na ujasiri wa kuona na kutafakari ni jinsi gani tunatumia fedha tulizonazo vibaya,
tunarudi kufanya uchaguzi kwenye jimbo la kafulila kwa sababu tu alifukuzwa ili kulinda cheo cha bosi wake
 
Willy

how did you arrive to verify cdm & ccm

and not udp and ppt maendeleo, what is the criteria

wanaoamini sera tofauti na hivi vyama vingine umeshawabagua kimsingi wa ubinadamu, hivyo basi haya mapendekezo yako yapo in a biased type of democracy

go back to your drawing board and re-think again
 
Suala la mgombea binafsi LISISUBIRI.....Katiba mpya.......hili ni suala linalotakiwa kufanyiwa mabadiliko NOW! NOW! NOW! ndani ya katiba iliyopo........ili kuondoa ukiritimba na upuuzi kama uliotokea NCCR......
 
- People unajua NCCR wanatukumbusha umuhimu wa kuondoa utitiri wa Vyama vingi hewa vya Upinzani tulivyonavyo. Wakati umefika ni muhimu through katiba mpya tukavunja vyama vyote vya Upinzani na kubaki na Vitatu tu, CCM, Chadema na Independent Party.

- I mean we cant afford as a Nation kuendelea na this foolishness of mediocre represantation ambapo Wenyeviti wa Vyama vetu vya siasa wanakuwa Semi-Gods through our Ruzuku but no record of anything worthy to us the people of what they are doing with our money zaidi ya kugombana na kufukuzana ambayo ni furaha ya CCM.

- People we need to take our Nation back, from the Mbatias and the likes na ni muhimu tukawa na Independent Party kuondoa ufalme wa Wenyeviti wa Vyama vikuu Viwili tu vya siasa under new katiba.

William @..NYC,USA: Mutuz Le Baharia Big Show!


Inashangaza kuona watanzania wanakuwa washabiki badala ya kuwa objective. Kilichofanywa na NCCR-Mageuzi ni kitendo ambacho kina set precence mbaya sana kwa watu ambao wanatokea kutofautiana na wenyeviti wa vyama. Hili linatufanya turudi kule kule kwa zidumu fikra sahihi na inashangaza sana vijana kufurahia what has happended kwa Kafulila. Tunailalamikia CCM na serikali yake jinsi inavyo toa nguvu ya maamuzi kwa mtu au kikundi cha watu wachache and we on the other side doing the same thing..

Nashindwa kuielewa attitude ya watanzania uswahili umezidi kupita kipimo!
 
LAT huhitaji PhD kujua kwamba vyama vikubwa vya siasa ni CCM na CDM, sasa kilichobaki ni Muswaada tu wa kuua huu utitiri wa vyama vya matumbo vyote vijiunge na hivyo vikuu viwili na kuwepo na wagombea huru!
 
kichwa cha habari kimenichanganya kidogo

sasa una maoni gani juu ya hizi tuhuma za waziri wa fedha Mkulo na balozi kamala na mheshimiwa Lukuvi kuwa na degrees na Phd feki?
sikiliza wewe Dr. W acha ungese............ una issues na Mkulo na tunakuunga mkono basi usiwe carried away kila sehemu ana shahada feki na wewe ni mmoja wao mnaokaa na kujadili mustakabali wa taifa including kutumia voda kutukana watu.................go to Mkulo thread au kakojoe ulalle usubiri kesho tena fava za NSSF

mambaffffffffff
 
sikiliza wewe Dr. W acha ungese............ una issues na Mkulo na tunakuunga mkono basi usiwe carried away kila sehemu ana shahada feki na wewe ni mmoja wao mnaokaa na kujadili mustakabali wa taifa including kutumia voda kutukana watu.................go to Mkulo thread au kakojoe ulalle usubiri kesho tena fava za NSSF

mambaffffffffff
Chill out son!
 
Kutaka kuwe na katiba itakayofuta vyama vyote vya upinzani na kubakisha vitatu ni absurd.

Tunapinga vikali hizi gharama zinazoingia serikali na sisi wananachi kwa chaguzi ndogo kila viongozi wa vyama kwa utashi waujuao wao wenyewe kumvua mtu uanachama, lakini hatuwezi kumzuwia mwananchi kufungua chama anachodhani kitaweza kuleta maendeleo nchini.

Hoja ya mgombea binafsi pamoja na kukata ruzuku kwa vyama vya siasa inaweza ikawa ina ufanisi zaidi katika kutatua suala lilipo lakini sio kutaka katiba izuwie uanzishaji wa vyama vya siasa.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kama mfumo wa ruzuku utafutwa utitiri wa vyama vya siasa utapotea; vipo vyama vinajiendesha kama miradi binafsi; tulishawahi kusema ruzuku ndio inayoua demokrasia ya kweli; kinachofanyika ni ulaghai wa wazi kwa watanzania; hebu tujiulize inakuwaje mathalani chama kama UDP kinanguvu Bariadi tu na si sehemu nyingine? Mh. Cheyo huwezi kumwita ni mpinzani; CCM inatumia udhaifu na tamaa ya viongozi wa upinzani kuwarubuni na ruzuku; kuwa na vyama viwili si suluhisho sahihi; kinachotakiwa ni kuwaelemisha wananchi haki ya kupiga kura; naamini wengi wa watanzania waliburuniwa kwa fulana na pilau na leo hii wanajutia kupoteza haki yao ya msingi.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Understandable, lakini ni muhimu tukawa na alternative ya Independent Party ili the Kafulilas wawe na safe heaven.

Willy katiba mpya labda iseme hata chama kikikufukuza uanachama utaendelea kuwa mbunge. kama chama kinakudhamini kuwa mbunge then kikikutema unakuwa huna Ubunge. Hata huko Independent inabidi ukapambane upya jimboni ili urudi. Ila napendekeza Kina Kafulila watafutiwe independet party ili wasiweze kusumbuliwa tena na viongozi wa vyama vya siasa.

Ila kuna vyama vingi ni kama independent party kwani havina wanachama kwa nini wasiende huko ili kuepusha misigishano au waanzishe vyama jina kama nia zao sio kuwa ndani ya mfumo wa siasa za vyama, kama chama cha UDP si ni chama cha mtu mmoja na hana wa kumsumbua??

Kuna vyama viko viko tu kama DP nk nahisi kama nia yao ni kuwa Independent wanaweza kutumia loophole ya katiba ya sasa na kujikuta independent candidates. Na tujitahidi kwenye katiba mpya tupige debe kubwa ili waweze kuwa na sehemu yao.
 
Back
Top Bottom