Vegetarian
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 651
- 495
Prof. Muhongo au Makongoro..
Mkuu, haya mapanya tumeambiwa yako kwenye mtungi na wameuinamisha yatoke yenyewe ili wayauwe. Sasa sijui yakitoka nani atayauwa maana hata huyo muuwaji ni panya pia. Ila ukawa nani anagombea?Mkuu mwaka huu akuna kijana atakaye dhubutu kupeleka kura kwa ukoo wa panya walisha tudanganya maneno yote walisha maliza hawana neno jipya lamwisho lilikuwa maisha bora kwa kila mtanzania!! Hawakina muongo na wengine wanarufurahisha tu siku zisonge watapata kura za vijana wa ukoo wa panya ambao ni wachache sana!! Wanahesabika bila hatakuwapanga!!
Ukoo wapanya umefikia mwisho wao!!
Ukawa ndio tumaini jipya
vote for ukawa?dovutwa ni kiboko yao
Mi issue ya gesi kila nyumba imenivutia sana,nimeanza kupiga picha jinsi nyumba za nyasi na tembe za dodoma zitakavyonufaika na ubunifu huu wa Proffesor.
Muhongo nouma nchi ambazo hakufika ni chade na ile iliyopo mwisho wa mwezi ambayo hasimu wake alikwenda kufungia ndoa mzee wetu mzalendo meng mauritania zijuwi chad aliitoa kwa sababu gani!!kwakweli umevunja mbavu zangu
Simba mwenda pole ndio mla nyama please wait loading ukawa........Mkuu, haya mapanya tumeambiwa yako kwenye mtungi na wameuinamisha yatoke yenyewe ili wayauwe. Sasa sijui yakitoka nani atayauwa maana hata huyo muuwaji ni panya pia. Ila ukawa nani anagombea?