tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Imotolewa orodha ya vyuo vikuu 400 bora duniani (top 400 universities worldwide) lakini cha kusikitisha ni kwamba ni chuo kimoja tu kutoka Afrika kilichoingia katika orodha hiyo. Chuo pekee cha Afrika kati ya vyuo 400 bora ni University of Cape Town cha Afrika Kusini ambacho kimechukua nafasi ya 156. Shame on Africa!