Kazi kweli kweli ! Ngoja tuone !!Ikumbukwe Kuwa Shujaa Magufuli alipoingia madarakani na kukabidhiwa Uenyekiti wa CCM alijitahidi kuleta Maendeleo Makubwa Nje ya mfumo rasmi wa CCM
Ndio sababu iliitwa CCM ya Magufuli
Wahafidhina wa CCM walimuona JPM kama mpinzani wa ndani ya Chama
Na kwa miaka 30 sasa vyama vya Upinzani vimekuwa vikipambana na CCM lakini cha.ajabu idadi ya Wabunge wa kuchaguliwa vyama vya Upinzani 2020 ni ndogo sana ukilinganisha na ile ya Kwenye Uchaguzi wa kwanza wa Vyama Vingi 1995
Ndio kusema Upinzani huu wa Watoa Taarifa umeishindwa kabisa CCM?
Jumaa Mubarak 😄
Hakuna ndio maana CCM imebaki kuwa ile ile ndani ya dakika 0 kila kitu kimerudi kama kilivyokuwa hapo awali kwa sababu alikuwa amezungukwa na machawa ambao ni wanafiki wanasifia kila ambaye wanaona kwa muda huo anawafaa.Ikumbukwe Kuwa Shujaa Magufuli alipoingia madarakani na kukabidhiwa Uenyekiti wa CCM alijitahidi kuleta Maendeleo Makubwa Nje ya mfumo rasmi wa CCM
Ndio sababu iliitwa CCM ya Magufuli
Wahafidhina wa CCM walimuona JPM kama mpinzani wa ndani ya Chama
Na kwa miaka 30 sasa vyama vya Upinzani vimekuwa vikipambana na CCM lakini cha.ajabu idadi ya Wabunge wa kuchaguliwa vyama vya Upinzani 2020 ni ndogo sana ukilinganisha na ile ya Kwenye Uchaguzi wa kwanza wa Vyama Vingi 1995
Ndio kusema Upinzani huu wa Watoa Taarifa umeishindwa kabisa CCM?
Jumaa Mubarak 😄
Una hoja ! Usikilizwe !!Hija gani wanafanya Chato? Wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa!!
Wanamsanifu tu!! Wanasema "kiko wapi? Ulijifanya mjuaji, sisi ni wajuaji zaidi"
Magufuli was a true hero, hatutapata tena kiongozi wa maana kama yeye.
Ikumbukwe Kuwa Shujaa Magufuli alipoingia madarakani na kukabidhiwa Uenyekiti wa CCM alijitahidi kuleta Maendeleo Makubwa Nje ya mfumo rasmi wa CCM
Ndio sababu iliitwa CCM ya Magufuli
Wahafidhina wa CCM walimuona JPM kama mpinzani wa ndani ya Chama
Na kwa miaka 30 sasa vyama vya Upinzani vimekuwa vikipambana na CCM lakini cha.ajabu idadi ya Wabunge wa kuchaguliwa vyama vya Upinzani 2020 ni ndogo sana ukilinganisha na ile ya Kwenye Uchaguzi wa kwanza wa Vyama Vingi 1995
Ndio kusema Upinzani huu wa Watoa Taarifa umeishindwa kabisa CCM?
Jumaa Mubarak 😄
Unajizima data tu na kutafuta kejeli. Magufuli alitawala nchi kidikteta sawa na akina Kagame na Museveni.
Tofauti yake na hao wenzie ni kwamba akina Kagame na Museveni walitumia bunduki kuingia madarakani wakati Magufuli aliingia kwa sanduku la kura.
Na ndiyo maana akafa mapema akiwa madarakani. Ubabe wa kijinga, ushamba wa madaraka na kujifanya much know.
Tupo tunadunda, yeye anaendelea kuoza Chato
Your argument is ad hominem. Calling the late President J.P.M "great sadistic coward" is not relevant. As a matter of fact, you do not have evidence and reasons to support your claim!
Hayat Rais hakuwahi kuwa mwoga wa kitu chochote au mtu wowote yule. He was assertive, he was the face of the Nation if not the face of whole of Africa.
He showed resilience and tenacity in all three Governments-Mkapa's, Kikwete's and his own that led Tanzania in becoming the fastest growing economy in our times despite the global economic slowdown due to the pandemic and so forth.
He was a succesful and effective leader who helped the country prosper and grow.He faced many challenges and threats both foreign and domestic, and he dealt with them with courage.
He inspired and motivated his people to work....clearly his slogans said it all "Hapa kazi tu" itoshe alikuwa kila kukicha anahimiza watu wafanye kazi kwa Bidii....mifano ni mingi sana. He was a charismatic and visionary leader, who had a clear and compelling vision for the country. He was always ready to help and serve. He was ready to die for his country!
Wewe upo tayari?
How can you say he was a great sadistic coward?.
J.Pombe Rest in Power my Brother.
Jiwe was a great and admirable leader and there should be more leaders like him in the future.
Aluta Continua.
Magufuli alipigania mabadiliko gani wee jamaa unawazimu nini ?
Si ndio huyu huyu magufuli aligeuza nchi nzima ya kijani na ya waunga juhudi? foolish
Wacha uongo. Mapovu yanawatoka sasa watu wanafanya hija kule Chato
Hamia ulipotoka
Afrika nzima wanajua hilo, Wazungu Wanajua hilo.
Halafu hawa Wapinzani Uchwara wana haha hapa na makelele yao yasio na mashiko.
Waende mitaani waone!
Lissu mwenyewe analilia kwenda CHATO!
🤣🤣🤣John the Baptist ni Mnafiki hii Dunia hakuna. Kaandika kukejeri Magufuli kwa kuingiza hoja ya uchaguzi wa 2020
Kifo cha magufuli was the biggest loss ever happened in africa, nitaomboleza kifo chake kila siku kwa maisha yangu yoteIkumbukwe Kuwa Shujaa Magufuli alipoingia madarakani na kukabidhiwa Uenyekiti wa CCM alijitahidi kuleta Maendeleo Makubwa Nje ya mfumo rasmi wa CCM
Ndio sababu iliitwa CCM ya Magufuli
Wahafidhina wa CCM walimuona JPM kama mpinzani wa ndani ya Chama
Na kwa miaka 30 sasa vyama vya Upinzani vimekuwa vikipambana na CCM lakini cha.ajabu idadi ya Wabunge wa kuchaguliwa vyama vya Upinzani 2020 ni ndogo sana ukilinganisha na ile ya Kwenye Uchaguzi wa kwanza wa Vyama Vingi 1995
Ndio kusema Upinzani huu wa Watoa Taarifa umeishindwa kabisa CCM?
Jumaa Mubarak
Shauri yenu misukule ya Magufuli, maana bado mnaamini atafufuka
Pole sana tu.
Hiyo ni stage nzuri tu uliyofikia ya maombolezo. Lakini uwe mwangalifu tu usiwe umekwama na Neurocitism
Hakuna cha shujaaIkumbukwe Kuwa Shujaa Magufuli alipoingia madarakani na kukabidhiwa Uenyekiti wa CCM alijitahidi kuleta Maendeleo Makubwa Nje ya mfumo rasmi wa CCM
Ndio sababu iliitwa CCM ya Magufuli
Wahafidhina wa CCM walimuona JPM kama mpinzani wa ndani ya Chama
Na kwa miaka 30 sasa vyama vya Upinzani vimekuwa vikipambana na CCM lakini cha.ajabu idadi ya Wabunge wa kuchaguliwa vyama vya Upinzani 2020 ni ndogo sana ukilinganisha na ile ya Kwenye Uchaguzi wa kwanza wa Vyama Vingi 1995
Ndio kusema Upinzani huu wa Watoa Taarifa umeishindwa kabisa CCM?
Jumaa Mubarak
🤣🤣🤣Shauri yenu misukule ya Magufuli, maana bado mnaamini atafufuka
Magufuli was a ruthless despot who silenced freedom of expression, remotely controlled the Parliament, and threatened the judiciary. Little is known of how Magufuli was evil by people outside Tanzania. He was a murderer, pathological liar, and mysonigistYour argument is ad hominem. Calling the late President J.P.M "great sadistic coward" is not relevant. As a matter of fact, you do not have evidence and reasons to support your claim!
Hayat Rais hakuwahi kuwa mwoga wa kitu chochote au mtu wowote yule. He was assertive, he was the face of the Nation if not the face of whole of Africa.
He showed resilience and tenacity in all three Governments-Mkapa's, Kikwete's and his own that led Tanzania in becoming the fastest growing economy in our times despite the global economic slowdown due to the pandemic and so forth.
He was a succesful and effective leader who helped the country prosper and grow.He faced many challenges and threats both foreign and domestic, and he dealt with them with courage.
He inspired and motivated his people to work....clearly his slogans said it all "Hapa kazi tu" itoshe alikuwa kila kukicha anahimiza watu wafanye kazi kwa Bidii....mifano ni mingi sana. He was a charismatic and visionary leader, who had a clear and compelling vision for the country. He was always ready to help and serve. He was ready to die for his country!
Wewe upo tayari?
How can you say he was a great sadistic coward?.
J.Pombe Rest in Power my Brother.
Jiwe was a great and admirable leader and there should be more leaders like him in the future.
Aluta Continua.
👌👍👏🙏💐🎁🎖️🏆Magufuli was a ruthless despot who silenced freedom of expression, remotely controlled the Parliament, and threatened the judiciary. Little is known of how Magufuli was evil by people outside Tanzania. He was a murderer, pathological liar, and mysonigist
Only illiterates like you will applaud this murderer!! I don't blame you majority of Tanzanians it's because of your ignorance and lack of initiatives to seek information. You were trapped in his 5 years false propaganda