OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Nimevutiwa na hii hoja, shida watu hamjaelewa mwenye uzi anataka nn. Kwa elimu yangu ya autos BONGO gari ilioko practical ni VX hilo halina ubishi. Lakini the best SUV dunia nzima itaendelea kua na hakuna nyingine zaid ya Range rover. Izi story za mtaani sijui Nissan ama VX V8 kuzifananisha na RR ni kumkosea heshima Range rover, toka lini turbocharger ikamkuta Supercharge ni bora ukajua tofauti kwanza thn ucompare Nissan na VX ni turbocharge while Range rover ni Supercharge apa namaanisha kuna extraboost ya uchomaji in cylinder in addition to extra air, wakati turbocharge its only extra air uchomaji unabaki constant.
Tukija kwny suala la comfortability na luxurious Range ni next level Just compare zinapopita kwa road jinsi VX V8 ilivyo plastic na range ikoje. NIssan Kosa lao kubwa wanasuccumb to pressure hili toleo lao jipya engine ni very OK but shida ni power to weight ratio. nissan body zito so more power needed wakati range wamesolve suala la power to weight ratio body made of aluminium na also wametumia composite material so gari ni more lighter.
Kwa hali ya bongo na upractical au uhalisia VX V8 is the logical choice kuanzia terrain issues mpka maintanance BUT kwa best SUV heshima inabaki kwa Range rover. na watu waache kuangalia uzuri wa body ni vizuri ukajua technical stuff na technology kucompare vitu. Mwisho wa siku mtakuja kusema Yutong ni nzuri Kulko Scania Irizar au Volvo bus.
Umeeleweka ila kweli tofauti ni turbo tu??!!
Au hiyo technical aspect uliyotaja ndio basi imetosha????