Sawa wife material unajua kucareWewe ni kama Mimi,nikimpenda mtu huwa sifichi wala sivungi,na hata ukileta cinema Nina uwezo wa kuwa humble Kwa certain period of time,ila nitapoona inatosha huwa inatosha.
Kwa maswali ya aina hii tuna safari ndefu bado
Kama ulikuepoUnadhani kila binadamu ni kama ww tu ?
Binadamu tupo tofauti na mawao tofauti na Mungu kafanya ivo makusudi ili tupate kujuana na kuvumiliana ili tuishi
Yani wanawake bwana, unaweza kushangaa upo busy kwa siku hiyo hata muda wa kula umekosa ile unapata kachance unamtafuta unakutana na malalamiko yasiyo na kichwa Wala mabega. Anashindwa hata kuuliza Nini kilikupata mpaka ukawa kimya, yeye mwenyewe hakukutafuta kipindi ukiwa kimya Ila anaamua tu kulaumu.
Mungu atusaidie Sana wanaume tunapitia mengi Sana.
Ung'eng'e😂😂Na Kwann usimtext morning dear . How are? Am very busy with work today I will call you when am free?
Inategemea nani ni boss wa hayo mahusiano?Kwenye mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake like everyday ile kumjulia hali na siku yake imeendaje?
Au inatakiwa iwe effort iwe inaendana kwa both sides? Au mmoja wapo ndo anatakiwa awe Ana initiate mawasiliano ili uhusiano uendelee?
Mm nna kiberenge changu yan ndio kwanza tumeanza relationship ,mzee haknitafut kbs yan kla sku n mm daah sjui inakuaje hii na huwa sina tabia yakutafuta watu ovyo ila hpa sjui kwkwel na sina nomah ht asponichek aseeh na mm wala sichoki kumchek.Kwa watu wanaopendana sidhani kama ishu ya mawasiliano kwao ni changamoto, na mara nyingi hii huwa kwenye penzi jipya kadri muda unavyozidi sogea na mawasiliano yanazidi kupungua kwa ambao hawajapatana kivile.
Wanataka wakwao peke Yao ukimpelekea moto dayle utaanza kusikia nimechoka kila siku ww unataka sasa utaacha kumsaliti mtu wa hivi😂Inategemea nani ni boss wa hayo mahusiano?
Inategemea nani anaControl sex.!
Mtazamo wangu ni Mwanamke ndiye anayetakiwa kuanzisha mawasiliano hayo yakudumisha mahusiano.
Kabla sijakupa sababu
Jiulize nin wajibu wa mwanamke kwenye mahusiano?
Ngoja nikupe uhalisia wa mambo.
Women love competition and chalenges
Texting and calling first is for women.
It is feminine
Kwakuwa ananiview like a price, she views me like a man who worth her attention. Hawez kucomplain wala kujali kama simtafuti tena hapo respect inakuwa kubwa.
"Bishana na laws of attraction"
Nakupa sababu
Masculine man responsibilities in a relationship is not to text first for the sake of keeping a woman enganged in a relationship.
Hoja yako hapo inajibiwa na swali hili kwa ufupi.
"who is a man in that relationship?"
Noma sana mkuuWanataka wakwao peke Yao ukimpelekea moto dayle utaanza kusikia nimechoka kila siku ww unataka sasa utaacha kumsaliti mtu wa hivi😂
😂😂😂😂Naona wajiamdalia kaburi lako mwenyeweMzee bab mm ishakuwa kama ratba lazma mm ndio nmchek everyday kwkwel I don even know what's wrong with her ,she does not even feel my lov on her ,I wonder she has got another dude over there ajabu ananpa antention san while am with her, that real confuse me.
Haya Mapenz yaachen tu jmn unaweza kufanywa mnyonge ww tu yan aah
NB:Mm n mvivu san kutafut watu ila hapa🙌🙌
C😂😂😂😂🤳Mm nna kiberenge changu yan ndio kwanza tumeanza relationship ,mzee haknitafut kbs yan kla sku n mm daah sjui inakuaje hii na huwa sina tabia yakutafuta watu ovyo ila hpa sjui kwkwel na sina nomah ht asponichek aseeh na mm wala sichoki kumchek.
Sjui kama ntakuja kukachoka kbs.
Dah aseeh ipo sku nikichoka sitamtafuta tena yan tena subri tu.😂😂😂😂Naona wajiamdalia kaburi lako mwenyewe
Hakupendi anataka kukunyonya damuMimi hapa na tafutwa sana na huyu mwanamke wangu, ananipeleka mbio mbio sana yani sipumziki, siii meseji sii kupigiwa napelekwa mbio kweli inabidi tuu nifate upepo wake huku nimeshikilia akili zangu sawa sawa maana naweza ziacha njiani
Na kwenye kugegedana sasa ni mbio mbio tuu kwa kweli muda wote yeye ananyege yani sipumziki wakuu na kila wakati anataka kuniona . Natamani ni mwambie ila naona acha tuu ni mvumilie japo vihela vya hapa na pale nampampa.
Wakuu hapa napendwa au ndiyo imekaaje ?
Lazima umuonyeshe mwenzio Upendo,asipothamini sio shida zakoSawa wife material unajua kucare
Na mwaka naye sasa, yupo hivi hiviChief katka Maisha kuna mmbo mengi na Hali tofauti unaweza kutana Nazo pasipo ww kujua unakuja kushtuka ushacherewa una mda gani uko nae
Tutakuwa na genetic zinazoshabihiana,,, maana mie hadi mtu nimtafute ni kipengele aisee,,, yaani nimejitahidi kuepuka hili lakini waapi.nichukukue notes hapa, maana mimi ni mvivu kutafuta watu.. Hua wanahisi nafanya kusudi kumbe ndo nilivyo hivyo
Ukiona kila wakati ni ww tu unayemtafuta mwenzio na yy amekauka tu anakusubiri, ujue hupendwi. Mapenzi ya dhati lazima yaonekane kutoka pande zote 2.Kwenye mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake like everyday ile kumjulia hali na siku yake imeendaje?
Au inatakiwa iwe effort iwe inaendana kwa both sides? Au mmoja wapo ndo anatakiwa awe Ana initiate mawasiliano ili uhusiano uendelee?
Ukoo vizuri japo sio guarantee maanA kuna ambae anaweza kuwa karibu KWA malengo fulani Mfano pesa n.k akishapata HII IMEENDALazima umuonyeshe mwenzio Upendo,asipothamini sio shida zako