kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,667
Khabarini wana jamvi nimatumaini yangu ya dhati kuwa mu wazima wa afya tele na kwa wale wanajickia mafua,maralia,uchovu wa hang'over poleni sana.Jamani nakua kama nachungulia humu jamvini hii ni kwa7bu sasa khali ya umeme inaleta ma2maini japo c sana hvyo kupelekea kazi yangu ya kinyozi kunibana sana nakula vichwa kufidia ile adha ya miez3 iliyopita.
Ok ningependa kujua kati ya makundi hayo mawili ni kundi gani linatamani sana kuoa/kuolewa?na ni 7bu zipi?
Ngoja nilambe kichwa naludi ok members karibuni.
Ok ningependa kujua kati ya makundi hayo mawili ni kundi gani linatamani sana kuoa/kuolewa?na ni 7bu zipi?
Ngoja nilambe kichwa naludi ok members karibuni.