Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,754
Huyo Musiba hana lolote analojuwa.
Yeye akiambiwa atoe tathmini ya mechi basi anapita kulekule alikopita Dr Licky then anaanza kutaja marafiki zake ''eeh ndugu yangu Balantanda wa JF sijui anahali gani huki aliko, maana mpaka Arsenal chama lake wako nyuma''...huyo ndo Musiba.
Tehe teh.....GC....umenichekesha kweli hapa...Liki Abdallah ni mzuri ukilinganisha na hao wengine.....anaaaayefuatia kwa mbaaaaaaaaaali ni rafiki yangu(wa kitambo Shafii,huyu anaujua mpira kaucheza japo s kwa daraja la juu,alikuwa anacheza sana mpira miaka ya mwishoni ya 90 mpaka alipoenda IFM......alikuwa anacheza sana hata akienda SHIMIVUTA,so anachocomment anakimaanisha maana alikuwa anaupiga mpira kisawasawa,winga tereza huyu).............Hawa wengine akina Edo na Sapi bado sana..............Liki yuko juu