Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,195
- 1,417
Hello Home of Great Thinkers!
Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.
Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.
Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa unayofanyiwa Mkuu wa Mkoa. Mbona Dodoma wamefanikiwa? Shida ni nini Dar? Au ndio shamba la bibi?
Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.
Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.
Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa unayofanyiwa Mkuu wa Mkoa. Mbona Dodoma wamefanikiwa? Shida ni nini Dar? Au ndio shamba la bibi?