Katazo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (Amos Makala) ladharauliwa

Queen Esther

JF-Expert Member
Apr 5, 2012
2,195
1,417
Hello Home of Great Thinkers!

Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.

Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.

Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa unayofanyiwa Mkuu wa Mkoa. Mbona Dodoma wamefanikiwa? Shida ni nini Dar? Au ndio shamba la bibi?
 
Hizi kelele ni kero tu ukiwa nje ya hizo bar au uwe nyumbani.....ukiwa mmoja wao unainjoi sana yani vyombo vikikolea unacheza hadi unainua mguu mmoja juu huku unazunguka meza za walevi wenzio na hautamani mziki uishe saa nane usiku utadhani saa moja kasoro. Sijui itakuaje....
 
Hello Home of Great Thinkers!!
Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.

Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.

Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa unayofanyiwa Mkuu wa Mkoa. Mbona Dodoma wamefanikiwa? Shida ni nini Dar? Au ndio shamba la bibi?
Unadanga?
 
Hello Home of Great Thinkers!!
Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.

Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.

Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa unayofanyiwa Mkuu wa Mkoa. Mbona Dodoma wamefanikiwa? Shida ni nini Dar? Au ndio shamba la bibi?
Dodoma ipi????!!!
 
Hello Home of Great Thinkers!!
Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.

Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.

Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa unayofanyiwa Mkuu wa Mkoa. Mbona Dodoma wamefanikiwa? Shida ni nini Dar? Au ndio shamba la bibi?
Itakuwa walikataa kukukopesha bia, mbona baa zote zipo kwenye makazi, tutajie baa ambazo hazipo kwenye makazi, je, baa hiyo imejengwa baada ya agizo au kabla? Post yako ingeleta hoja kama ungeweka kipimo cha sauti(db) ulichokikuta ukilinganisha na db zilizoruhusiwa ambacho huenda haukijui.
 
Acha kumuongezea Amos kazi.
Kuna yule meya aliyesema atakomesha madanguro ya Mwananyamala. Asichojua Ni kwamba ametoa location, hata ambao walikua hawajui uwepo wa papuchi za buku mbili Sasa wamejua na zinapopatikana bila kulipa gesti.
Sasa na wewe leo umetoa location. Umewaongezea wateja.
 
Hello Home of Great Thinkers!!
Nipo hapa Bahari Beach Mtaa wa Simba ukitokea Jambo Super Market.

Ipo baa imefunguliwa hapa tena kwenye maeneo ya makazi. Mpaka muda huu inapiga muziki ukiwauliza wanasema hawatishwi na kelele za RC.

Naomba utume vijana wako muda huu waje wajionee dharau kubwa unayofanyiwa Mkuu wa Mkoa. Mbona Dodoma wamefanikiwa? Shida ni nini Dar? Au ndio shamba la bibi?
Wale waliofungiwa Dodoma ndiyo walikua targeted kwenye lile aagizo la makelele!!
 
Back
Top Bottom