Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,771
- 54,079
- Thread starter
- #41
Oyaa kataa ndoa.Si ndio mzee hatari sana
Oyaa kataa ndoa.Si ndio mzee hatari sana
Kausha mzee waseje kukupiga mawe😂😂Wengine wanakataa ndoa kumbe HAISIMAMI
Kaka Mimi sipindi pindi, kataa ndoa.Unawauza wenzio acha hizo
Kwani huwa Ina kituo😆🤔Wengine wanakataa ndoa kumbe HAISIMAMI
Natunza watoto nawajibika kama baba ila ndoa ni big no huo mkataba siutakiNasikia inahusishwa na ushoga, mnapokea ruzuku kutoka kwa jamii ya mashoga. Mnakataa kuoa ili muolewe
Uko sahihi bro, na ya nini uji changanye.Ndoa muhimu kwa watu sahihi.
Ukioa kisa upate utelezi au kuolewa kwa ajili ya kuwalingishia mashoga zako ujue utaula wa chuya.
Ukiingia kwenye ndoa means ni kuacha maujinga yako yote na kutulia.
Ukiendeleza ujinga kama upo single while upo kwenye ndoa hapo lazima Kivumbi kiitike.
🤔Oyaa kataa ndoa.
Ikiwa mbovu inatulia haisimamiKwani huwa Ina kituo😆🤔
Kataa ccm ingekuwa na manufaa zaidi! Tuanze nayo.
Ndoa inajenga familia imara, jamii imara, taifa imara, ulimwengu imara!
Ndiomaana naungana na wewe kijana, ndoa ni uhaini ndio maana mzee wako bado nipo singo boy...teh😜Hilo lake 🤓, ila Kataa ndoa ni hazina mzee🤓😆
Bro jembe langu Lina Lima, ila nasema kataa ndoa.Ikiwa mbovu inatulia haisimami
Muongo muongo tenaBro jembe langu Lina Lima, ila nasema kataa ndoa.
Dah mzee uko vizuri up stairs🤓, nita kuletea hii 🤣🤣Ndiomaana naungana na wewe kijana, ndoa ni uhaini ndio maana mzee wako bado nipo singo boy...teh😜
4. wafata mkumbo.Hapa kuna makundi matatu yenye chanzo cha kataa ndoa:
1. Hanithi...haidindi
2. Kataa ndoa mtoa jicho
3. Kataa ndoa hajajipata yaani hana pesa...akizipata stori inabadilika.
Jiongezezeni Masela
Muongo wa nini??, hebu nieleweshe hapo.Muongo muongo tena
99% wapo hapa mkuu ,hawajajipata.3. Kataa ndoa hajajipata yaani hana pesa...akizipata stori inabadilika.