kambale mnene
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 271
- 197
Akili za kiwenda wazimuHuyu huyu Majaliwa muongo muongo au.
Kazazi cha Hovyo, mwambie Majaliwa atuoneshe vile viwanda 4000 vya Magufuli kwanza.
Akili za kiwenda wazimuHuyu huyu Majaliwa muongo muongo au.
Kazazi cha Hovyo, mwambie Majaliwa atuoneshe vile viwanda 4000 vya Magufuli kwanza.
Hujafa hujaumbika na utu uzima ni dawa,Majaliwa kuwa rais?. Huyu mwenye roho mbaya ya kinyama awe rais wa nchi gani?
Akiwa DC wa Urambo aiwafanyia unyama wafugaji waliokuwa kwenye pori la hifadhi.
2020 alipita bila kupingwa kwa kuwateka wapinzani wake jimboni.
Majaliwa hafai. Ni mwongo mwongo Sana. Alitudanganya Magufuli anachapa kazi kumbe kafa.
Tangu awe waziri mkuu amefanya kitu gani cha maana. Hat Jpm alimwambia angemtandika yeye na shangazi zake.🤣🤣Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?
Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Huyu atakuwa ndio katelephone mwenyewe hizi ID zinaficha mengiWaziri mkuu muongo mno kuwahi kutokea, viwanda 4000 vya Magufuli kwanza, viko wapi. Kizazi cha hovyo acheni kuongozwa na njaa.
Ndege wafananao ndio maana walikuwa pamoja na "Mtu Yule"Majaliwa kuwa rais?. Huyu mwenye roho mbaya ya kinyama awe rais wa nchi gani?
Akiwa DC wa Urambo aiwafanyia unyama wafugaji waliokuwa kwenye pori la hifadhi.
2020 alipita bila kupingwa kwa kuwateka wapinzani wake jimboni.
Majaliwa hafai. Ni mwongo mwongo Sana. Alitudanganya Magufuli anachapa kazi kumbe kafa.
Ndugai no mpumbavu yuleNdugai anafaa zaidi ya Kassim.
Hahaa kuna taaratibu za kufuataTena mapema sna hata baada ya bunge la bajeti apewe tu katelephoni tuone na yey anasera gani Kam atakuwa na geng la kina mwigulu
Ni makosa ya kisiasa tu hayatoi uhalisia kwamba ni Bora .na aliposema walioangalia Mazishi ya mwendazake kupitia LIVE wafikia Bilioni 6 Duniani kote
huyo bure kabisa acheni twende na Mama tutamuongezea km Magufuli walivyotaka atawale kabisa, God akakataa
Daaa ni utaaratibu mzuri ila PM alifaa sanaKwa mila na desturi za Nchi yetu, labda Majaliwa ashike kuanzia 2025 hadi 2030, kwani 2030 Rais ni lazima atoke Vatican.
Majaliwa kuwa rais?. Huyu mwenye roho mbaya ya kinyama awe rais wa nchi gani?
Akiwa DC wa Urambo aiwafanyia unyama wafugaji waliokuwa kwenye pori la hifadhi.
2020 alipita bila kupingwa kwa kuwateka wapinzani wake jimboni.
Majaliwa hafai. Ni mwongo mwongo Sana. Alitudanganya Magufuli anachapa kazi kumbe k
Rais wa nchi gani? Labda wa jamiiforums! Yaani mtadanganywa kupita kiasi, maana jamaa ni muongo wa kupindukia. Na ninyi watanzania kwa kusahau? Yaani mmeshasahau alivyosema Magufuli ni haumwi ana rundo la mafaili wakati keshafariki au hamkumbuki alivyosema kuwa mazishi ya Magufuli yameangaliwa mtandaoni na watu Billioni 3 halafu kesho yake akasema wataongezeka wafikie Billioni 4? Hapo kweli MajaliwaKuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?
Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Utamaduni uvunjwe. Majaliwa awe Rais. Tena 2025. Mama asituharibie. Amekuwa makamu wa Rais kwa miaka 5 na Rais kwa miaka 4. Inatosha. Apumzike 2025. Amwachie kijana mwingine kutoka kusini, Bw. Kassim Majaliwa. Anaweza akaimarisha Uchumi kama Mkapa. Kuna wakati Tz iliipita Kenya kwa ukubwa wa uchumi wakati wa Mkapa.Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?
Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Mtu hawezi hata kuwa WEOUmetumwa na kiongozi wa waongo Tanzania? Mbona hana hata dalili za kuweza kuongoza nchi
Hatuwezi kuachia tena nchi iongozwe na waswahiliUtamaduni uvunjwe. Majaliwa awe Rais. Tena 2025. Mama asituharibie. Amekuwa makamu wa Rais kwa miaka 5 na Rais kwa miaka 4. Inatosha. Apumzike 2025. Amwachie kijana mwingine kutoka kusini, Bw. Kassim Majaliwa. Anaweza akaimarisha Uchumi kama Mkapa. Kuna wakati Tz iliipita Kenya kwa ukubwa wa uchumi wakati wa Mkapa.
Bwana DNA/RNA okay, baada ya miaka kumi hivi tutamfikiria kweni hata uwaziri mkuu utakuwa umeshamponyoka tutaona. Nchi hii na CCM yetu tuna viongozi wengi hatuna shida ya candidates wa Urais. Ila kosa lililopita halitarudiwa.Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?
Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?
Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Waziri mkuu muongo mno kuwahi kutokea, viwanda 4000 vya Magufuli kwanza, viko wapi. Kizazi cha hovyo acheni kuongozwa na njaa.