Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Majaliwa kuwa rais?. Huyu mwenye roho mbaya ya kinyama awe rais wa nchi gani?

Akiwa DC wa Urambo aiwafanyia unyama wafugaji waliokuwa kwenye pori la hifadhi.

2020 alipita bila kupingwa kwa kuwateka wapinzani wake jimboni.

Majaliwa hafai. Ni mwongo mwongo Sana. Alitudanganya Magufuli anachapa kazi kumbe kafa.
Hujafa hujaumbika na utu uzima ni dawa,
Naamini nawewe ipo siku utakuja kuwadaganya watoto wako kuwa baba/mama yenu anaendelea vizuri kumbe ameshakufa.

Alichokifanya PM ndo kifanywacho katika maisha yetu ya kila siku juu ya taarifa nzito kama magonjwa na kifo.

Maoni yangu; Majaliwa ndo mwanasiasa pekee wa sasa anaeweza kutufikisha mahali flani kama taifa lililopoteza direction.
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Tangu awe waziri mkuu amefanya kitu gani cha maana. Hat Jpm alimwambia angemtandika yeye na shangazi zake.🤣🤣
 
Majaliwa kuwa rais?. Huyu mwenye roho mbaya ya kinyama awe rais wa nchi gani?

Akiwa DC wa Urambo aiwafanyia unyama wafugaji waliokuwa kwenye pori la hifadhi.

2020 alipita bila kupingwa kwa kuwateka wapinzani wake jimboni.

Majaliwa hafai. Ni mwongo mwongo Sana. Alitudanganya Magufuli anachapa kazi kumbe kafa.
Ndege wafananao ndio maana walikuwa pamoja na "Mtu Yule"
 
na aliposema walioangalia Mazishi ya mwendazake kupitia LIVE wafikia Bilioni 6 Duniani kote
huyo bure kabisa acheni twende na Mama tutamuongezea km Magufuli walivyotaka atawale kabisa, God akakataa
Ni makosa ya kisiasa tu hayatoi uhalisia kwamba ni Bora .
 
Kumbe walikuwa kwenye eneo la hifadhi eeeh... nenda kafugie tena mifugo kule hlf uone kama kuna mtu qtakuchekea... nilidhani unbetoa homa genuine za mtu kuonewa bila sababu kumbe hao wahalifu na waharibifu wa mazingira
Majaliwa kuwa rais?. Huyu mwenye roho mbaya ya kinyama awe rais wa nchi gani?

Akiwa DC wa Urambo aiwafanyia unyama wafugaji waliokuwa kwenye pori la hifadhi.

2020 alipita bila kupingwa kwa kuwateka wapinzani wake jimboni.

Majaliwa hafai. Ni mwongo mwongo Sana. Alitudanganya Magufuli anachapa kazi kumbe k
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Rais wa nchi gani? Labda wa jamiiforums! Yaani mtadanganywa kupita kiasi, maana jamaa ni muongo wa kupindukia. Na ninyi watanzania kwa kusahau? Yaani mmeshasahau alivyosema Magufuli ni haumwi ana rundo la mafaili wakati keshafariki au hamkumbuki alivyosema kuwa mazishi ya Magufuli yameangaliwa mtandaoni na watu Billioni 3 halafu kesho yake akasema wataongezeka wafikie Billioni 4? Hapo kweli Majaliwa
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Utamaduni uvunjwe. Majaliwa awe Rais. Tena 2025. Mama asituharibie. Amekuwa makamu wa Rais kwa miaka 5 na Rais kwa miaka 4. Inatosha. Apumzike 2025. Amwachie kijana mwingine kutoka kusini, Bw. Kassim Majaliwa. Anaweza akaimarisha Uchumi kama Mkapa. Kuna wakati Tz iliipita Kenya kwa ukubwa wa uchumi wakati wa Mkapa.
 
Utamaduni uvunjwe. Majaliwa awe Rais. Tena 2025. Mama asituharibie. Amekuwa makamu wa Rais kwa miaka 5 na Rais kwa miaka 4. Inatosha. Apumzike 2025. Amwachie kijana mwingine kutoka kusini, Bw. Kassim Majaliwa. Anaweza akaimarisha Uchumi kama Mkapa. Kuna wakati Tz iliipita Kenya kwa ukubwa wa uchumi wakati wa Mkapa.
Hatuwezi kuachia tena nchi iongozwe na waswahili
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Bwana DNA/RNA okay, baada ya miaka kumi hivi tutamfikiria kweni hata uwaziri mkuu utakuwa umeshamponyoka tutaona. Nchi hii na CCM yetu tuna viongozi wengi hatuna shida ya candidates wa Urais. Ila kosa lililopita halitarudiwa.
 
Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .

Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .

Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo ,mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?

Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?


Rais wa chama cha kokoto....?
 
Waziri mkuu muongo mno kuwahi kutokea, viwanda 4000 vya Magufuli kwanza, viko wapi. Kizazi cha hovyo acheni kuongozwa na njaa.

Nani wa kuulizwa viwanda 4000 kati ya aliyekuwa waziri mkuu na kwa sasa ni waziri mkuu bado au aliyekuwaga makamu wa rais na sasa ni rais
 
Back
Top Bottom