Duh hii kweli noma, nimeisoma mwenyewe kwenye WIKIPEDIA, jamaa washatoaga digri kwa mbwa.....Sasa they same school imemfundisha Waziri wetu wa Fedha....
Tanzania tuko matatani, si bure JK alipata shida sana kutengeneza wizara, unaweza kuta Mkullo is the best among them.
Tanzania tuko matatani, si bure JK alipata shida sana kutengeneza wizara, unaweza kuta Mkullo is the best among them.