kWANI KIINI CHA TATIZO HAKIJULIKANI HADI LEO MIAKA 51 YA UHURU. UNAJENGA SHULE HAZINA WALIMU, VITABU, MAABARA ETC. UNATEGEMEA NINI. WALIMU HAO WACHACHE UNAWADHULUMU. HIYO TUME HAINA FAIDA YOYOTE KWAVILE KIINI CHA TATIZO KINAJULIKANA!!!!!Kwa hili, CHADEMA mmekurupuka. Bora hata Lowassa aliyemwomba Rais kuunda Tume. Badala ya kuitisha maandamano, undeni tume huru ya pamoja, kati ya walimu, wazazi na wanafunzi. Kuwe na tume huru kila kata, wilaya na mkoa. Kisha tume hizo zifanye majumuisho ya vikao vitakavyoendeshwa. Mnataka kuwakomboa Watanzania? Wakomboeni kwa mazungumzo na maazimio. Maandamano ni hasira za mkizi, huishia ukingoni.
Kwa hili, CHADEMA mmekurupuka. Bora hata Lowassa aliyemwomba Rais kuunda Tume. Badala ya kuitisha maandamano, undeni tume huru ya pamoja, kati ya walimu, wazazi na wanafunzi. Kuwe na tume huru kila kata, wilaya na mkoa. Kisha tume hizo zifanye majumuisho ya vikao vitakavyoendeshwa. Mnataka kuwakomboa Watanzania? Wakomboeni kwa mazungumzo na maazimio. Maandamano ni hasira za mkizi, huishia ukingoni.
Tatizo n i pale waziri anapogoma kujiuzuru awapishe wenye uwezo
Kaka tatizo siyo waziri, kwa serikali ya ccm, hata kama waziri angelikuwa Dr Silaa, hakuna la maana ambalo lingelifanyika, tatioz ni mfumo mbovu wa elimu ambao umeasisiwa na sera mbovu za elimu zinazotungwa na serikali ya ccm. Kawambwa hana la kufanya zaidi ya kufuata ambayo yameandikwa kwenye ilani za ccm.
Mwaka 2010 ndio majibu yalianza kuwa mabaya ingawa hayawezi kulingana kwa vyovyote vile na matokeo ya sasa. Kikaundwa kikosi kazi kikashirikisha pande zote muhimu kazi ikafanywa kwa ustadi mkubwa na mapendekezo yakatolewa na hela nyingi zilitumiwa kufanya hii kazi. Mapendekezo hayakufanyiwa kazi yako makabatini serikali inategemea miujiza, kwahio Tume haihitajiki hata kidogo kwasababu sababu za kufeli zinajulikana. Nashauri wafanye hima kufanyia kazi hayo mapendekezo. Bila hivyo tunafuga bomu litakalolipuka sio muda mrefu. Usiwashangae CHADEMA, shauri nini kifanyike.
kwani CHADEMA wanataka kuandamana tena au? kwA stail hiyo inabid nikikimbie hich chama kama ni hoja mwiten wazir wa elimu, walimu pamaoja na wadau wa elimu mjadili tatizo kuandamana tena sasa tutakuwa mazuzu,mabwabwa, au mbulula? kila kitu sisi ni waandamanaji tu!!!!!
Kwa hili, CHADEMA mmekurupuka. Bora hata Lowassa aliyemwomba Rais kuunda Tume. Badala ya kuitisha maandamano, undeni tume huru ya pamoja, kati ya walimu, wazazi na wanafunzi. Kuwe na tume huru kila kata, wilaya na mkoa. Kisha tume hizo zifanye majumuisho ya vikao vitakavyoendeshwa. Mnataka kuwakomboa Watanzania? Wakomboeni kwa mazungumzo na maazimio. Maandamano ni hasira za mkizi, huishia ukingoni.
Kwa hili, CHADEMA mmekurupuka. Bora hata Lowassa aliyemwomba Rais kuunda Tume. Badala ya kuitisha maandamano, undeni tume huru ya pamoja, kati ya walimu, wazazi na wanafunzi. Kuwe na tume huru kila kata, wilaya na mkoa. Kisha tume hizo zifanye majumuisho ya vikao vitakavyoendeshwa. Mnataka kuwakomboa Watanzania? Wakomboeni kwa mazungumzo na maazimio. Maandamano ni hasira za mkizi, huishia ukingoni.
tume ya nini? Kwani. Ni kipi hakijulikani?nikiwa mtaalamu nafahamu fika wanasiasa wanaruhusiwa kuwa na ndoto. Lowassa na wenzake walipata ndoto nzuri ya elimu kwa kila Kata na hata kijiji. Tatizo sio wao waliopaswa kutafsiri ndoto. Walikurupuka vibaya sana ili waonekane walikuwa na ndoto nzuri. Wanajimu tupo tele DUCE Na UDSM,SAUT. HATUHITAJI TUME. CHADEMA WAENDELEE NA SIASA NA MAANDAMANO NA WAULIZE JE MPANGO MKAKATI WA KUFIKIA KILA KATA UPO?NA MALENGO MUDA MFUPI MPAKA MUDA MREFU NI YAPI? KINYUME WAZAZI WATOE SHUKRANI KWA CHECHEMEE KUANDAA KAMBI ZA KUKUZA WATOTO KUWAEPUSHA NA NGONO ZA UTOTONI.Kwa hili, CHADEMA mmekurupuka. Bora hata Lowassa aliyemwomba Rais kuunda Tume. Badala ya kuitisha maandamano, undeni tume huru ya pamoja, kati ya walimu, wazazi na wanafunszi. Kuwe na tume huru kila kata, wilaya na mkoa. Kisha tume hizo zifanye majumuisho ya vikao vitakavyoendeshwa. Mnataka kuwakomboa Watanzania? Wakomboeni kwa mazungumzo na maazimio. Maandamano ni hasira za mkizi, huishia ukingoni.
Kwa hili, CHADEMA mmekurupuka. Bora hata Lowassa aliyemwomba Rais kuunda Tume. Badala ya kuitisha maandamano, undeni tume huru ya pamoja, kati ya walimu, wazazi na wanafunzi. Kuwe na tume huru kila kata, wilaya na mkoa. Kisha tume hizo zifanye majumuisho ya vikao vitakavyoendeshwa. Mnataka kuwakomboa Watanzania? Wakomboeni kwa mazungumzo na maazimio. Maandamano ni hasira za mkizi, huishia ukingoni.
Kwa hili, CHADEMA mmekurupuka. Bora hata Lowassa aliyemwomba Rais kuunda Tume. Badala ya kuitisha maandamano, undeni tume huru ya pamoja, kati ya walimu, wazazi na wanafunzi. Kuwe na tume huru kila kata, wilaya na mkoa. Kisha tume hizo zifanye majumuisho ya vikao vitakavyoendeshwa. Mnataka kuwakomboa Watanzania? Wakomboeni kwa mazungumzo na maazimio. Maandamano ni hasira za mkizi, huishia ukingoni.