Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,957
- 22,156
Katika kikao kilichokaa majuzi cha madiwani wa jiji la dar..waliongelea swala la kituo cha mabasi cha ubungo
katika hilo waliongelewa sheria ya kupandisha kodi kwa wanaoongia ndan ya uwanja huo kama kibwagizo cha mzabuni alieshinda zabuni ya kusimamia uwanja huo..kwanza niulize jamani huyu mzabuni analipa ngapi kwanza huko serikalini isije ikawa mkataba ni ule ule wa mtoto wa kingunge wamebadilisha jina watu tumekaa kimya
katika mahojiano madiwan hao walienda kuonana na baadhi wahusika wa shguli za kituo hicho ambao wamesema wazi
kituo kinaitaji kufanyiwa marekebisho na uboreshaji na sio kuongeza tu hela wakati hizo mnazopata mmeshindwa kurekebisha baadhi ya vitu.. Baada ya kuongea hayo meya alikaa na madiwani na kukubaliana kusitisha hoja ya kutumia sheria yampya ya kuongeza viwango vya viingilio
pamoja na hayo meya alipokea malalamiko kutokakwa mzabuni alieshinda zabuni ya kusimamia uwanja wa mabasi waubungo kwa kudai mkurugenzi wa jiji anapingana na mkataba kwa kuidhinisha baadhi ya watu tena wakiwa na barua zake waweze kuingia bure uwanjani nahivyo kwenda kinyume na mkataba wao...meya alishauri mgogoro huo uende kikao cha kamati ya fedha na uongozi na mzabuni aitwe na asikilizwe pamoja na vikao vyao
mzabuni huyo ametoa notisi ya mwezi mmoja kwenda mahakamani kulishtaki jiji kwa kuvunja mkataba wake ikiwemo kuingiza watu kwa vimemo kinyume na mkataba...
Anayway sidhani kulikuwa na haja ya kufikisha swala hili kamati ya fedha wakati meya mwenye akili zako timamu umeshika mkataba ukiwa na lugha mbili za kiingereza na kiswahili na zinasema nini ....na unajua kusoma
hapa ndipo hoja ya lowasss ya maamuzi magumu inapotakiwa mkurugenzi wa jiji awezi kuwafanya madiwani wajinga na wapumbavu kiasi hicho kutoa memo ovyo watu waingie bure hata kama ajapata 10% ya hako kamktaba
katika hilo waliongelewa sheria ya kupandisha kodi kwa wanaoongia ndan ya uwanja huo kama kibwagizo cha mzabuni alieshinda zabuni ya kusimamia uwanja huo..kwanza niulize jamani huyu mzabuni analipa ngapi kwanza huko serikalini isije ikawa mkataba ni ule ule wa mtoto wa kingunge wamebadilisha jina watu tumekaa kimya
katika mahojiano madiwan hao walienda kuonana na baadhi wahusika wa shguli za kituo hicho ambao wamesema wazi
kituo kinaitaji kufanyiwa marekebisho na uboreshaji na sio kuongeza tu hela wakati hizo mnazopata mmeshindwa kurekebisha baadhi ya vitu.. Baada ya kuongea hayo meya alikaa na madiwani na kukubaliana kusitisha hoja ya kutumia sheria yampya ya kuongeza viwango vya viingilio
pamoja na hayo meya alipokea malalamiko kutokakwa mzabuni alieshinda zabuni ya kusimamia uwanja wa mabasi waubungo kwa kudai mkurugenzi wa jiji anapingana na mkataba kwa kuidhinisha baadhi ya watu tena wakiwa na barua zake waweze kuingia bure uwanjani nahivyo kwenda kinyume na mkataba wao...meya alishauri mgogoro huo uende kikao cha kamati ya fedha na uongozi na mzabuni aitwe na asikilizwe pamoja na vikao vyao
mzabuni huyo ametoa notisi ya mwezi mmoja kwenda mahakamani kulishtaki jiji kwa kuvunja mkataba wake ikiwemo kuingiza watu kwa vimemo kinyume na mkataba...
Anayway sidhani kulikuwa na haja ya kufikisha swala hili kamati ya fedha wakati meya mwenye akili zako timamu umeshika mkataba ukiwa na lugha mbili za kiingereza na kiswahili na zinasema nini ....na unajua kusoma
hapa ndipo hoja ya lowasss ya maamuzi magumu inapotakiwa mkurugenzi wa jiji awezi kuwafanya madiwani wajinga na wapumbavu kiasi hicho kutoa memo ovyo watu waingie bure hata kama ajapata 10% ya hako kamktaba