Kwanza huyu mbunge MUNDE wa viti maalum TABORA aliiba hela za manispaa za ujenzi wa stendi wa mji wa Tabora mjini zaidi ya m 280 na walikuwa na kesi mahakamani ambayo iliwahusisha mwasibu wa manispaa,mkurugenzi pamoja na yeye MUNDE akiwa kama cashee wa manispaa.Hawa ndiyo wabunge wa CCM ambao wanawakilisha wananchi bungeni