Karibuni Mtaa wa MANGOMA (MUSIC Boulaverd).....D

Mkuu wewe kiboko umenikumbusha John Peter Pantalakis a.k.a JPP! Huyu ni uncle wa John Dilinga Matlou a.k.a DJ JD ambaye pia ndio aliyemuingiza DJ JD kwenye fani. Kweli maji hufata mkondo wake maana JD alikuwa Rapper akirap kwa kiingereza(alivyotoka South Africa) lakini JPP ndio alianza kumfundisha na kumpa nafasi baada ya kugundua dogo mkali! JPP sijui anafanya nini kwa sasa lakini mkongwe Dj Seydou yupo fairway pub kila siku bado analisongesha vizuri tu!
 
Nkwingwa nipo sana tu ila mihangaiko imenizidi.

Baada ya kusoma nimepotea, ngoja nirudi na kibao cha kuwakumbuka waliopotea JF.



Kwa Tanzania nakupa kitu kilichopikwa tena na Bichuka na kundi zima la Sikinde.

Nikiusikia huu wimbo, namkumbuka sana mshikaji aliyetutoka mwaka jana na alikuwa member wa JF kwa jina la JAFAR. Nakumbuka tukiwa shule, alikwenda concert ya Sikinde na aliporudi akaanza kunisimulia ilivyokuwa. Sijui kwa kiasi gani alijua jinsi hizo story zinavyonigusa na sikutaka aache kuelezea.

Nilivutiwa na alivyoelezea kuhusu wimbo wa Clara kuwa wakati unaanza kuimbwa, Bichuka alikuwa kakaa kwenye kiti hadi wakaanza kupata wasiwasi kuwa amesahau kuwa anatakiwa kuimba. Ilipofika sehemu yake kuimba, alinyenyuka kwenye kiti na kuvamia Mic "Kama yajasikia, ehhh, kama hajasikia ehh ehh, ajali niliyoipata nimekuwa kilema, lakini kilema isiwe kisingizio cha kuja kuniona......." I will miss you JAFAR and R.I.P.



Sikonge upo?.....Umepotea sana Nkwingwa....
 
Last edited by a moderator:
enzi hizo mi dogo lakini nilikuwa nacheza madisco ya mchana(boogie) kila jumapili pale ymca, msasani beach, ushirika.
nawakumbuka madj wote.
nakumbuka nyimbo hizi
let me be the one- five star
hanging on the string, slow down- loose ends
pay in full- eric b n rakim
love come down, am in love- evelyn king
dirty cash- steve v...
nina list balaa haitoshi humu
 
Naona Mzee John Kitime kasikia kilio changu na kaweka miziki kadhaa.

Huyu Mzee inabidi unamvamia na vyombo vya kisasa na KUMUIBIA hizi video zote alizonazo na kuzirekodi katika DVD.

Nafikiri atakuwa mmoja ya watu wenye historia nzuri sana ya mziki wa Tanzania.

Mzee Kitime asante sana kwa kutuwekea hizi video......................


Patrick Balisidya na Mashaka ya dunia....



Hapa ni Tuncut Almasi na safari siyo kifo....


Sasa Nkwingwa, hii kitu mara ya kwanza niliisikia aikitoka CAVE DISCO pale Arusha....
 
Last edited by a moderator:
Bala,
Asante sana kwa vibao vya Gregory Abbot. Mimi sio mtaalamu sana wa haya mambo ya computer, nawezaje kuhamisha huu mziki kwenye computer yangu (uwe offline) au nifanyeje kutoa hapo kwenda kwenye CD niwe napiga nikitoka Chikuyu hadi Manyoni....
 
Mambo ya Zero Distance a.k.a Blues.......Bila ngoma hizi blues ndani ya Disco lilikuwa haliendi





 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom