Dah, sasa ofisi ya rais nayo mbona inatuzingua.. Mbona watu tunafahamu JK alikuwa Dodoma na alifanya kikao hadi kufikia maamuzi ya kuwambia mawaziri wasijiuzuru iweje anakataa kutofanya mazungumzo?. Haya na tusubiri hiyo Jumatatu sijui J'nne kama kutakuwa na taarifa yoyote tofauti na uzushi huu wa gazeti Daima maana tunajua fika kwamba walitakiwa kujiuzuru na ngoma hiyo ilimsubiri yeye tu. Wakati mwingine ni busara kutojibu kila gazeti linapoandika..