R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
[h=6]Kanisa Katoliki lahoji madaraka ya Rais
LATOA MWONGOZO WA MAONI YA KATIBA, LATAKA ASITEUE MAJAJI, WABUNGE WAKUU WA MIKOA, ASHTAKIWE
KANISA Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, limetoa mwongozo kwa waumini wake, likiwataka kushiriki mchakato wa kutoa maoni ya Katiba Mpya, huku likihoji madaraka makubwa aliyonayo Rais katika mambo mbalimbali.[/h]
LATOA MWONGOZO WA MAONI YA KATIBA, LATAKA ASITEUE MAJAJI, WABUNGE WAKUU WA MIKOA, ASHTAKIWE
KANISA Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, limetoa mwongozo kwa waumini wake, likiwataka kushiriki mchakato wa kutoa maoni ya Katiba Mpya, huku likihoji madaraka makubwa aliyonayo Rais katika mambo mbalimbali.[/h]